supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Watoto wanahitaji afya na kupata chanjo hospitaliniElimu bure ni moja ya mahitaji anuai ya MTz. Ajira na huduma ya afya ni mengine ambayo lazima yaboreshwe ili uwafurahie watoto
Watoto wanahitaji afya na kupata chanjo hospitaliniElimu bure ni moja ya mahitaji anuai ya MTz. Ajira na huduma ya afya ni mengine ambayo lazima yaboreshwe ili uwafurahie watoto
Hospitalini wamaadraka mahospitalini nenda ukajione maajabu ya maafa na hali iliyopo ndani ya majengo yetu ya huduma za afya huko ndiyo majonzi na huzuni zitatamalaki.......Watoto wanahitaji afya na kupata chanjo hospitalini
Wagonjwa ni sisi wenyewe kwakuwa tumeridhia na hali halisi, yaleti tujifunze kudai haki za maisha bora !!!Zitatamalaki hasa unapokuta huduma mbaya ndani ya hospitali, acha uchafu na msongamano wa wagonjwa.
Kudai yale ya msingi mfano uwepo wa dawa, usafi tosha, huduma ya kibinaadamu na siyo ilimradi...Maisha bora ni yapi? Ndio waTz wanachopaswa kujua na kudai
Mshahara ni haki yake kupata ila uhalisia wa kazi yake uendane uwajibikaji kazini pasipo upungufu !!Ilimradi siku inapita na mwisho wa mwezi mfanyakazi anapata mshahara
upungufu wa nguvu za kiume umekuwa ni tatizo kubwa kwa vijana.Mshahara ni haki yake kupata ila uhalisia wa kazi yake uendane uwajibikaji kazini pasipo upungufu !!
kiuchumi nchi yetu nasikia umepanda??Vijana wajishughulishe na elimu/ujuzi na biashara ili wajikwamue kiuchumi
Umepanda kwa kiwango ila tunapenda kiendelee kukaa hukohuko kileleni.....😀kiuchumi nchi yetu nasikia umepanda??
Umepanda kwa mtazamo wa wataalamu wa kimataifa ukilinganisha na miaka ya nyuma !!Nasikia umepanda maana kusema kweli siuoni uchumi kama umepanda
Mikaratusi ni miti yenye majani yanayotumiwa ktk tiba na baadhi ya waganga wa kienyeji !!!Nyuma ya Nyumba yangu nimepanda mikaratusi
Nduki alitolewa huko Dubai aipojifanya Dr. Feki, siunajua waBongo popote walipo huwa smart !!Kienyeji enyeji ukienda kufanya biashara kwenye nchi nyingine wanakutoa nduki