Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Hukurupuka tena kwa namna atakavyo simamia ubunifu au uchochezi wa jamboHukurupuka tena
Hukurupuka tena kwa namna atakavyo simamia ubunifu au uchochezi wa jamboHukurupuka tena
Jambo lenyewe ni lipiHukurupuka tena kwa namna atakavyo simamia ubunifu au uchochezi wa jambo
Ni lipi linalo kukera unionapo naongea na marafiki zangu barabarani......Jambo lenyewe ni lipi
Barabarani kuna watu wengiNi lipi linalo kukera unionapo naongea na marafiki zangu barabarani......
Wengi wapo kwa mishe mishe zao na wengi wapo kutafuta mlo wa siku ilimradi....Barabarani kuna watu wengi
Ili mradi mkono uingie kinywaniWengi wapo kwa mishe mishe zao na wengi wapo kutafuta mlo wa siku ilimradi....
Kinywani kuna siri kuwa ya mwanaadamu, Humo ndani ndiyo mwanzo wa mapokezi ya rizikiIli mradi mkono uingie kinywani
Bacteria hao ni walinzi na wapiganaji na wapo bacteria wa mapokezi.....Kinywani kuna bacteria wengi sana.
Riziki mafungu sabaKinywani kuna siri kuwa ya mwanaadamu, Humo ndani ndiyo mwanzo wa mapokezi ya riziki
Saba hizo ziwekewe bayana na uwazi tupate kuelewa......Riziki mafungu saba
Kina cha mto ruvu ni mfupi ukilinganisha na kina cha ziwa tanganyika....Kuelewa unahitaji kufikiri kwa kina
Ziwa Tanganyika wanapatikana samaki aina ya MigebukaKina cha mto ruvu ni mfupi ukilinganisha na kina cha ziwa tanganyika....
Migebuka ni jamii ya aina gani, isiwe dagaa.....???Ziwa Tanganyika wanapatikana samaki aina ya Migebuka
Dagaa ni wadogo... migebuka wanataka kufanana na Kibua kwa size but huyu ana magamba and wanapatikana maji baridiMigebuka ni jamii ya aina gani, isiwe dagaa.....???
Maji baridi hupatikana samaki wenye ladha taamu, Lakini pia maji baridi si nzuri kwa kunywa husababisha madhara ktk mishipa ya moyo !!!!Dagaa ni wadogo... migebuka wanataka kufanana na Kibua but huyu ana mashamba and wanapatikana maji baridi
Binaadamu anaviuongo vingapi mwilini ?Moyo ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu