supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Dunia nzima inatambuwa uwezo na uwepo wa MunguBukoba ilikuwa km gumzo hapa Tz na DUNIA Nzima
Dunia nzima inatambuwa uwezo na uwepo wa MunguBukoba ilikuwa km gumzo hapa Tz na DUNIA Nzima
Mungu ni muweza na anatenda km utamuamin na kufanya atakavyoDunia nzima inatambuwa uwezo na uwepo wa Mungu
Atakavyo na atakalo Mungu linakuwa hakuna wa kulipinga, pumzi zetu zisitupe hadaa kukufuruMungu ni muweza na anatenda km utamuamin na kufanya atakavyo
Kufuru za aina nyingi siku hizi zimeibuka.....Atakavyo na atakalo Mungu linakuwa hakuna wa kulipinga, pumzi zetu zisitupe hadaa kukufuru
Zimeibuka kwa sababu watu hawaamini watafufuka baada ya kifoKufuru za aina nyingi siku hizi zimeibuka.....
Kifo kipo na kila mtu ataonja umautZimeibuka kwa sababu watu hawaamini watafufuka baada ya kifo
Kifo ni jambo tunalisikia kila siku, Lakini likitokea huwa linamshtuo na hofu hutamalaki....Zimeibuka kwa sababu watu hawaamini watafufuka baada ya kifo
Hofu hutamalaki lakini haisaidii kitu zaidi ya kujifunza kuna maisha ya leo na kesho hivyo basi tufanye ibadaKifo ni jambo tunalisikia kila siku, Lakini likitokea huwa linamshtuo na hofu hutamalaki....
Ibada pekee bila kusafisha roho na moyo kuwa nadhifu ni kama kutwanga maji ndani ya kinu..!!Hofu hutamalaki lakini haisaidii kitu zaidi ya kujifunza kuna maisha ya leo na kesho hivyo basi tufanye ibada
Kinu kizuri kinafaa kufunda viungo vya pilau hasa siku ya harusiIbada pekee bila kusafisha roho na moyo kuwa nadhifu ni kama kutwanga maji ndani ya kinu..!!
Harusi yako ikiwadia naomba unijulishe Mchango wangu ni mbuzi wa4 na mchele gunia1.. acha tuchanike hiyo pilau !!!Kinu kizuri kinafaa kufunda viungo vya pilau hasa siku ya harusi
Pilau la shughulini ni tamuHarusi yako ikiwadia naomba unijulishe Mchango wangu ni mbuzi wa4 na mchele gunia1.. acha tuchanike hiyo pilau !!!
Taamu lile pishi la Mzee Chef Kondo.., hupika karamu ya watu zaidi 2000 bila kuchelea...Pilau la shughulini ni tamu
Kuchelea kwa watu kwenye shughuli unaweza kukuta karamu imeishaTaamu lile pishi la Mzee Chef Kondo.., hupika karamu ya watu zaidi 2000 bila kuchelea...
imeisha bila hata kunawa mkono, hiyo itakuwa hasara kwa waliyo hudhuria....Kuchelea kwa watu kwenye shughuli unaweza kukuta karamu imeisha
Waliyohudhuri walinawishwa mikono vizuri wakajua pilau kumbe mihogo ya naziimeisha bila hata kunawa mkono, hiyo itakuwa hasara kwa waliyo hudhuria....
Nazi nayo umenikumbusha, Wajua kuwa Nazi ni zao lenye manufaa ya afya na tiba !!!Waliyohudhuri walinawishwa mikono vizuri wakajua pilau kumbe mihogo ya nazi
Tiba ya nazi ipo na vilevile inatoa mafuta kwa ajili ya kujipaka mwilini na pia kiungo kwenye mchuzi wa nazi na ugaliNazi nayo umenikumbusha, Wajua kuwa Nazi ni zao lenye manufaa ya afya na tiba !!!
Ugali wa nazi bado sijasikia.. ila Cake (keki) ya nazi nshakula ni safi na taamu hadi utaongwza maradufu !!!!😛😛😀Tiba ya nazi ipo na vilevile inatoa mafuta kwa ajili ya kujipaka mwilini na pia kiungo kwenye mchuzi wa nazi na ugali
Utaongezwa maradufu mchuzi wa nazi jinsi ulivyo mtamu ukiula na ugali, hakuna ugali wa nazi labda sembe na donaUgali wa nazi bado sijasikia.. ila Cake (keki) ya nazi nshakula ni safi na taamu hadi utaongwza maradufu !!!!😛😛😀