Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Haramu haithibiti ikiwa elimu ya kuelimishana haijatangulia kwa wahusika.., Awareness ni hatua bora katika kupata viwango !!
Viwango vimewekwa na elimu ya kutosha inatolewa na mamlaka husika pamoja na ulinzi wa kutosha kutoka kwa marine park na TANAPA lakini wavuvi bado wanaendekeza uvuvi haramu kuuza samaki wasafirishwe na wafanya biashara
 
Biashara ya kuuza samaki inalipa sana,ila anayenufaika zaidi ni dalali na sio mvuvi.
Mvuvi analipia leseni kuongeza pato la taifa ila cha ajabu leseni inalipiwa bei tofauti mfano (tanga mjini, muheza(kigombe), pangani na zanzibar), mvuvi wa Tanga anakwenda kigombe kukata leseni, na wa kigombe anakwenda pangani kukata leseni, sijajua mikoa mingine bei zipo vipi. Leseni ya mvuvi ni moja tu inatumika hiyohiyo Tanzania nzima na inaongezeka mara kwa mara kulipia kodi, serikali iwape nafuu wavuvi wapate faida katika soko la samaki
 
Mvuvi analipia leseni kuongeza pato la taifa ila cha ajabu leseni inalipiwa bei tofauti mfano (tanga mjini, muheza(kigombe), pangani na zanzibar), mvuvi wa Tanga anakwenda kigombe kukata leseni, na wa kigombe anakwenda pangani kukata leseni, sijajua mikoa mingine bei zipo vipi. Leseni ya mvuvi ni moja tu inatumika hiyohiyo Tanzania nzima na inaongezeka mara kwa mara kulipia kodi, serikali iwape nafuu wavuvi wapate faida katika soko la samaki
Samaki na mazo mengine yana URASIMU kibao !!!
 
Kibao kielekezwe kwa wavuvi maisha yao yapo duni sana sio serikali iwape kipaumbele wafanyabiashara pekee na wakulima, bahari tunayo samaki tunao Mungu atupe nini nchi hii
Hii ni fadhila tosha adhimu na neema tuliyopendelewa mbele ya wengi waliyo nyimwa au hata kutofikiriwa robo yake.. Lakini ufujaji wetu umekuwa janga !!!
 
Back
Top Bottom