Mmmh!! Manyani wamekukosa nini wee ukhuty hujui methali hii "siku yakufa kwa nyani miti yote huteleza" sasa aloamini acha aamini na asiyekubali asikubali....Wazungu hawa hawa wanaotudanganya kuwa asili yetu ni manyani
Asikubali kuitwa hivyo hatakama wazungu wamesema baada ya kutudanganya wamethibitisha kwa sayansiMmmh!! Manyani wamekukosa nini wee ukhuty hujui methali hii "siku yakufa kwa nyani miti yote huteleza" sasa aloamini acha aamini na asiyekubali asikubali....
Sayansi tunaisoma vizuri, na imani tuna amini kwa moyo thabiti.....Asikubali kuitwa hivyo hatakama wazungu wamesema baada ya kutudanganya wamethibitisha kwa sayansi
Thabiti Abduly ndiyo mwanamichezo pekee anayoiwakilisha Tanzania katika NBA huko Marekan licha ya kiwango kushuka kwa sasa..Sayansi tunaisoma vizuri, na imani tuna amini kwa moyo thabiti.....
Sasa inatubidi tuwakuze na kuwaanda wakina Hashim Thabit wengi tuweze kuwatuma ng'ambo watuwakilisha kamataifa ipasavyo !!Thabiti Abduly ndiyo mwanamichezo pekee anayoiwakilisha Tanzania katika NBA huko Marekan licha ya kiwango kushuka kwa sasa..
Ipasavyo pia tuwe na kina samatta wengi kwenye michezo ili akishuka kiwango mmoja tunakuwa nao wengine kumi zaidiSasa inatubidi tuwakuze na kuwaanda wakina Hashim Thabit wengi tuweze kuwatuma ng'ambo watuwakilisha kamataifa ipasavyo !!
Zaidi ni kuzidisha viwanja vituo michezo katika kila kata, hiyo ndiyo ushindani kwa kukuza vipaji.. !!Ipasavyo pia tuwe na kina samatta wengi kwenye michezo ili akishuka kiwango mmoja tunakuwa nao wengine kumi zaidi
Vipaji vipo mtaani na watu wanazeeka na kufa na vipaji vyao, bado serikali haijajikita zaidi kukuza vipaji hiviZaidi ni kuzidisha viwanja vituo michezo katika kila kata, hiyo ndiyo ushindani kwa kukuza vipaji.. !!
Hivi hawa Viongozi wanaelewa nini maana ya Skills,vipaji na genious..? Wasihofie gharama au hasara kuwekeza katika Michezo....!!Vipaji vipo mtaani na watu wanazeeka na kufa na vipaji vyao, bado serikali haijajikita zaidi kukuza vipaji hivi
Mchezo wa simba na yanga ulileta mtengano kwa mashabiki haswa mbeyaHivi hawa Viongozi wanaelewa nini maana ya Skills,vipaji na genious..? Wasihofie gharama au hasara kuwekeza katika Michezo....!!
Mbeya ni mkoa wenye vivuto vingi vyakitalii..., Yasemekana miaka ijayo itachukuwa nafasi ya mwanzo !!Mchezo wa simba na yanga ulileta mtengano kwa mashabiki haswa mbeya
Mwanzo mgumu haswa kwa sisi wanafunzi wa 1st year mwaka huuMbeya ni mkoa wenye vivuto vingi vyakitalii..., Yasemekana miaka ijayo itachukuwa nafasi ya mwanzo !!
Huu mwaka ni mgumu kwa kila mtu na serikali ya awamu hii imewania kuwajibisha utendaji na siyo uendekezaji....Mwanzo mgumu haswa kwa sisi wanafunzi wa 1st year mwaka huu
Wazazi wao wamewapa malezi mabaya watoto mpaka wanakosa heshima, mwanafunzi mwenye nidhamu atafika chuo kikuuUendekezaji wa watoto wetu waliokosa nidhamu mashuleni kwa kupiga waalimu wao huku serikali ikija juu kwa kuwatetea watoto hao walioshindikan kwa wazazi wao
Duuuh naskia wanafunzi kibao wamekosa mkopoChuo kikuu kwenyew majanga sijui Kama tutafika aisee kwa hali hii duuuuuuh
Sahihi iliyo rekebishwa na bodi ya waalimu imeakidi katika ripoti ya wizara !!!Mkopo n njia nzuri ya kujikwamua kimaisha ila tu kama unamikakati sahihi