Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Huzuni na majonzi ni mitihani ya Mungu. Mungu ailaze maala pema roho ya marehemu Shangazi wa kubwa lao. Pole sana
Sana sana wenye kawaida hiyo ni watoto wa kitaa kile ndo nawaonaga wakipiga chabo, ila wa huku kwetu hawanaga hizo.
 
Sana sana wenye kawaida hiyo ni watoto wa kitaa kile ndo nawaonaga wakipiga chabo, ila wa huku kwetu hawanaga hizo.
Hizo za kupiga chabo na kuiba pilau na nyama kwenye harusi zinafanyika sana na watoto wa kitaani
 
Kitaani kwetu wamebaki wazee vijana wote wamekimbilia Dar wakizan kule ndo watapata ukomboz kumbe afadhali wangebaki mwakwao wajikwamue na kilimo
Kilimo kitakuwa kimbilio kama Bodi ya Mikopo ikiendelea kuwapa wanafunzi shilingi sabini na saba elfu.
 
Back
Top Bottom