Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Ufungwe fundo tatu, hapo tutajuwa nani mshindi.....?Kwanza kabla ya yote huu Uzi Leo ufungwe
Ufungwe fundo tatu, hapo tutajuwa nani mshindi.....?Kwanza kabla ya yote huu Uzi Leo ufungwe
Mshindi akipatikana au akikosekana lakini uzi haufungwi yani kama daladala akipanda mtu anashuka mtuUfungwe fundo tatu, hapo tutajuwa nani mshindi.....?
Mtu ni utu na siyo kitu, mwendelezo wa uzi ni kuhakikisha tumetumia lahaja na lafudhi za kiswahili...Mshindi akipatikana au akikosekana lakini uzi haufungwi yani kama daladala akipanda mtu anashuka mtu
Kiswahili ni lugha yetu ya taifa tunajivunia sana kama afrika mashariki sote tunaongeaMtu ni utu na siyo kitu, mwendelezo wa uzi ni kuhakikisha tumetumia lahaja na lafudhi za kiswahili...
Tunaongea kitaaluma hapa mwenye uwezo achangie sentensi.....Kiswahili ni lugha yetu ya taifa tunajivunia sana kama afrika mashariki sote tunaongea
Sentensi zina misamiati mizuri na zinaleta maana ya kutosha kufikisha ujumbeTunaongea kitaaluma hapa mwenye uwezo achangie sentensi.....
Ujumbe wa nchi hupelekwa wizara ya mambo ya nje na wao huwatumia mabalozi kuufikisha rasmi...Sentensi zina misamiati mizuri na zinaleta maana ya kutosha kufikisha ujumbe
Rasmi tunapata taarifa za watanzania wenzetu wanaoishi nje ya mipaka ya Tanzania kupitia mabaloziUjumbe wa nchi hupelekwa wizara ya mambo ya nje na wao huwatumia mabalozi kuufikisha rasmi...
Zz hana uwezo huo ila fan sureboy ndo tajiri mkongwe na hana mpinzaniZawadi tutakayompa Mshindi ni fedha taslimu US$1000 na saa aina ya Rolex kutoka kwa ZZ..!!
Mabalozi kwanza hushauriana na wenzake ndo hutoa maamuzRasmi tunapata taarifa za watanzania wenzetu wanaoishi nje ya mipaka ya Tanzania kupitia mabalozi
Maamuzi yanatolewa kwa niaba ya rais yenye maslahi kwa wananchiMabalozi kwanza hushauriana na wenzake ndo hutoa maamuz
Wananchi wengi hupuuzwa na kuahwa kwenye mataa baada ya uchaguzi mkuu.....!!Maamuzi yanatolewa kwa niaba ya rais yenye maslahi kwa wananchi
Uchaguzi mkuu husababisha kutolewa kwa ahad nyingi ambazo haztekelezekWananchi wengi hupuuzwa na kuahwa kwenye mataa baada ya uchaguzi mkuu.....!!
Mdogo wangu kua uyaone dunia hii hadaa ulimwengu shujaaHazitekeleki kwa kuwa siasa ni uongo, na upeo wa wananchi wengi ni mdogo
Shujaa wetu keshapatikana na ndiyo ameanza kutumbua...Mdogo wangu kua uyaone dunia hii hadaa ulimwengu shujaa
Shujaa hupewa tuzoMdogo wangu kua uyaone dunia hii hadaa ulimwengu shujaa
Tuzo apewe mama kwa malezi bora, nani kama mamaShujaa hupewa tuzo
Heshima yangu nimekumbuka juzi nilikuamkia shikamooShujaa SM leo nimekuwa mdogo wako wakati wiki iliyopita ulinipa heshima yangu