granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 4,569
- 10,420
083433, member: 273336"]Inasonga..ilisonga...na itasonga[/QUOTE]
Itasonga mpaka wajukuu zetu wataikuta
Itasonga mpaka wajukuu zetu wataikuta
083433, member: 273336"]Inasonga..ilisonga...na itasonga
Wataikuta panapo majaaliwa Mungu akitujaalia uzima wa afya na uhai[/QUOTE]Itasonga mpaka wajukuu zetu wataikuta
Uhai wangu upo matatani sana kwa sababu napenda kufanya mapenzi(ngono)bila kinga na kuzama chumvini(uvinza)[/QUOTE]chumvini(uvinza) ni hatari kwa afya inaweza pelekea kansa ya kooWataikuta panapo majaaliwa Mungu akitujaalia uzima wa afya na uhai
Lini unakuja huku baby?Tunzo ya mwisho kuchukua Tanzania ilikuwa lini?
Baby wako atakuja akikuwaLini unakuja huku baby?
Akikuwa kwa malezi haya atakaribishwa JF na kuwa Senior member kama wakongwe...Baby wako atakuja akikuwa
Wakongwe wengi huanzisha uzi kama huu wa Wambuzi.Akikuwa kwa malezi haya atakaribishwa JF na kuwa Senior member kama wakongwe...
Wambuzi ni great thinker hapa JF alibuni uzi wenye mwendelezo hadi wageni wamekuwa wenyeji... !!Wakongwe wengi huanzisha uzi kama huu wa Wambuzi.
Wenyeji kama mimi tunautembelea uzi huu kila baada ya kurasa mia tatu.Wambuzi ni great thinker hapa JF alibuni uzi wenye mwendelezo hadi wageni wamekuwa wenyeji... !!
Tatu huwa nyingi sema kila uonapo postWenyeji kama mimi tunautembelea uzi huu kila baada ya kurasa mia tatu.
Post hii bila kuntangaza km mm ndo mshindi basi ntakuwa na damu ya Ali kiba na si ya DiamondTatu huwa nyingi sema kila uonapo post
Diamond ndio kiboko yaoPost hii bila kuntangaza km mm ndo mshindi basi ntakuwa na damu ya Ali kiba na si ya Diamond
Yao hao wanamuziki ila si kwa ss wa maofisiniDiamond ndio kiboko yao
Diamonds are forever ni movie iliyovuma na kuchukua tuzo kadha...Post hii bila kuntangaza km mm ndo mshindi basi ntakuwa na damu ya Ali kiba na si ya Diamond
Kadha wa kadha haswa kwa wapenzi wa movieDiamonds are forever ni movie iliyovuma na kuchukua tuzo kadha...