Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kiswahili kimezidi sana kayika siasa za bongo kwa hali ilivyo sasa akunabudi watu wafanyekazii yakujenganchi nakuweka maslahi binafsi pembeni
Pembeni mwa barabara kuna mitaro iliyo wazi ambayo husababisha uchafu na matope kufurika hadi kutawanyika mitaani....
 
Barabarani siku hizi kuna fanyika biashara nyingi huwezi juwa kama ni soko au njia ya magari...
Magari yanapita kwa tabu mfano kariakoo kuna mtu aligonga bidhaa zilizopangwa barabarani na gari huwezi amini wamachinga wenye hasira kali walimpiga mpaka kifo na alikuwa tayari kuomba msamaha na kulipa gharama
 
Magari yanapita kwa tabu mfano kariakoo kuna mtu aligonga bidhaa zilizopangwa barabarani na gari huwezi amini wamachinga wenye hasira kali walimpiga mpaka kifo na alikuwa tayari kuomba msamaha na kulipa gharama
Gharama ile isingefika hata shilingi elfu kadhaa lakini uhai wa mtu umepotea.....
 
Back
Top Bottom