jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,902
Wasiowapenda wanamapinduzi wa kweli basi ujue wamewakumbatia mafisadi
Mafisadi ni wengi sana na awamu hii ndio hao wanaolalama mitaani
Wasiowapenda wanamapinduzi wa kweli basi ujue wamewakumbatia mafisadi
Mafisadi huwa hawawezi kujitakasa , hadi warambe kifungo cha jela.....Wasiowapenda wanamapinduzi wa kweli basi ujue wamewakumbatia mafisadi
Mafisadi ni wengi sana na awamu hii ndio hao wanaolalama mitaani
Mafisadi huwa hawawezi kujitakasa , hadi warambe kifungo cha jela.....
Kodi lazima ilipwe tu hakuna namna na sisi wateja tukienda dukani hotelini tudai risitiMitaani hali ngumu sababu Rais Magufuli kapunguza matumizi yasiyo na tija kwa serikali na watumishi wake na piya kawabana wakwepa kodi.
Mbaya sana kwa walofungwaJela ni mbaya...
Waliofungwa huwa wanakosa haki yao ya kukutana na wake zao au waume zao katika nchi nyingi za Africa.Mbaya sana kwa walofungwa
Africa hakuna demokrasia ya kweliWaliofungwa huwa wanakosa haki yao ya kukutana na wake zao au waume zao katika nchi nyingi za Africa.
Kweli napenda kujua haki ya mfunguwa, Jee ana ruhusiwa kukutana na mwenza wake faragha?Africa hakuna demokrasia ya kweli
Faragha ya kufanya mapenzi hakuna labda kushikana mikono, kumpiga busu na kulia kwa pamoja kwa machungu kukumbuka mlipotoka na maisha magumu mnayopitia kwa sasaKweli napenda kujua haki ya mfunguwa, Jee ana ruhusiwa kukutana na mwenza wake faragha?
Umasikini ni chanzo cha uharifuUmasikini umekosa tiba kabisa haswa katika kipindi hiki cha serikali ya CCM
Sasa najiuliza kwa nini maneno mengi ya lugha ya kiswahili hujirudia rudia...?Faragha ya kufanya mapenzi hakuna labda kushikana mikono, kumpiga busu na kulia kwa pamoja kwa machungu kukumbuka mlipotoka na maisha magumu mnayopitia kwa sasa
Rudia tena yanajirudia vipi bado sijakuelewa kwa mfanoSasa najiuliza kwa nini maneno mengi ya lugha ya kiswahili hujirudia rudia...?
Mfano nakupa maneno "pilipil,pikipiki,Sasa,daladala,bodaboda,kuku nk nk... huu mwendelezo unanishangaza....Rudia tena yanajirudia vipi bado sijakuelewa kwa mfano
Unanishangaza na mimi hasa watu wanaposema kiswahili kimetokana na kiarabu wakati maneno hayo uliyoandika yanayojirudia ni "filfil, drajat naariya, al'an, sayyara, dajajah" mimi nakubaliana na kwamba kiswahili ni kibantuMfano nakupa maneno "pilipil,pikipiki,Sasa,daladala,bodaboda,kuku nk nk... huu mwendelezo unanishangaza....
Kibantu ni lafudhi, lahaja au masamiati ? hebu mwaga maelezo tujifunze zaidi...Unanishangaza na mimi hasa watu wanaposema kiswahili kimetokana na kiarabu wakati maneno hayo uliyoandika yanayojirudia ni "filfil, drajat naariya, al'an, sayyara, dajajah" mimi nakubaliana na kwamba kiswahili ni kibantu
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/1473258Kibantu ni lafudhi, lahaja au masamiati ? hebu mwaga maelezo tujifunze zaidi...
Mwalim, Sasa wataka kunichekesha zaidi yaani kiswahi kina umri wa miaka 80... yaani kabla ya Nyerere palikuwa hakuna lugha ya mawasiliano?!!?https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/1473258
Zaidi zaidi pongezi kwenye kiswahili zielekezwe kwa kiongozi bora Mwalim Nyerere
Mawasiliano yalikuwepo na lugha zipo nyingi tu Tanzania kila kabila wanaongea lugha zao na kingereza na kiarabu pia watu waliongea, juhudi za mwalim Nyerere ni kuifanya kiswahili kuwa lugha ya taifa na sasa nchi jirani zote Afrika mashariki wanaongea kiswahiliMwalim, Sasa wataka kunichekesha zaidi yaani kiswahi kina umri wa miaka 80... yaani kabla ya Nyerere palikuwa hakuna lugha ya mawasiliano?!!?