watu wengi wsiyo na maono ya mbali na upana wa busara hufanya mambo kinyamela...Kodi nyingine hazina kichwa wala miguu, hiyo ilikuwa ni husda iliyowajaa watu
Kitu cha Mzungu na dunia ya Mungu, ukimkandia mwenzio basi na wenzio watakukandia vilivyo.Kinyemela na kupuuzia taratibu ziliowekwa hufisha ufanisi wa kila kitu.
Lake ni kubwa sana katika historia hasa alipochukua tunzo ya mwanariadha bora, sasa cha ajabu mashindano ya riadha yapo kila mwaka lakini Tanzania tunajivunia tunzo ya miaka zaidi ya 30 iliyopita ni aibuVilivyo ni kama kanuni ya kuwa usimcheke anayeanguka nawe lisije kukufika kama anguko lake
Aibu kuona sisi waTZ hatukuweka riadha na michezo kama kipaumbele cha mafanikio wengi tumejikita ktk starehe japo umri na rika zetu hazikubaliki.....Lake ni kubwa sana katika historia hasa alipochukua tunzo ya mwanariadha bora, sasa cha ajabu mashindano ya riadha yapo kila mwaka lakini Tanzania tunajivunia tunzo ya miaka zaidi ya 30 iliyopita ni aibu
Gani inapendeza kati ya mwangaza wa jua au nuru ya mbaraMwezi !!!Aibu kwa nchi hii, chochote kizuri hakiendelezwi, si viwanda, elimu, michezo, afya wala demokrasia. Sielewi tu watu wa aina gani.
Mbaramwezi itatoa mwanga kwenye giza wake siku moja na sisi watanzania tutajiweka kifua mbele kwenye michezoGani inapendeza kati ya mwangaza wa jua au nuru ya mbaraMwezi !!!
Thabiti ni kizingiti kitakacho simamia vijana chipukizi kuchuana vipaji vyao hatimaye kunaibuka wanariadha hodari....Michezo yahitaji uwekezaji wa kueleweka na msimamo thabiti.
Wanariadha hodari wanawekewa misingi mizuri tangu wakiwa wadogo, cha ajabu eti serikali mwaka huu ilifuta maandalizi ya michezo ya UMISETA na UMISHUMTA shuleniThabiti ni kizingiti kitakacho simamia vijana chipukizi kuchuana vipaji vyao hatimaye kunaibuka wanariadha hodari....
Shuleni siku zile nikiwa chipukizi wa soka na high-jump nilipo chaguliwa kushiriki mashindano ya UMISETA nilihakikisha natimiza azma ya kunyakuwa ushindi popote pale.....Wanariadha hodari wanawekewa misingi mizuri tangu wakiwa wadogo, cha ajabu eti serikali mwaka huu ilifuta maandalizi ya michezo ya UMISETA na UMISHUMTA shuleni
Pale unapochaguliwa kishule kuwakilisha wenzako kwa kipaji cha michezo wengi walikuwa wanachujwa kutoka shule mbalimbali ili kupata timu ya wilaya kuwakilisha timu ya mkoa hatimae mnarudi na kombe au medani ya dhahabu na fedhaShuleni siku zile nikiwa chipukizi wa soka na high-jump nilipo chaguliwa kushiriki mashindano ya UMISETA nilihakikisha natimiza azma ya kunyakuwa ushindi popote pale.....
Fedha hizi ndiyo zimeleta fedheha kwa umma, ukiwa na fedha utathaminwa uspokuwa nazo utapuuzwa !!!Pale unapochaguliwa kishule kuwakilisha wenzako kwa kipaji cha michezo wengi walikuwa wanachujwa kutoka shule mbalimbali ili kupata timu ya wilaya kuwakilisha timu ya mkoa hatimae mnarudi na kombe au medani ya dhahabu na fedha
Utapuuzwa kama hutathamini utu wako, waache wenye fedha waendelee kuwa na fedha zao kama ni halali ni haki yao lakini kama ni fedha za ufisadi basi Mh Magufuli atawatumbua majipuFedha hizi ndiyo zimeleta fedheha kwa umma, ukiwa na fedha utathaminwa uspokuwa nazo utapuuzwa !!!
Majipu uchungu hutembea mwilini na kujitokeza sehemu zingine bila kutambulika.....Utapuuzwa kama hutathamini utu wako, waache wenye fedha waendelee kuwa na fedha zao kama ni halali ni haki yao lakini kama ni fedha za ufisadi basi Mh Magufuli atawatumbua majipu