OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Mbwembwe zote zile kaishia kutamba dar tuu
Kiswahili ni lugha ya taifaLaa, alimaanisha tu, neno la Kiswahili.
Mtumwa wa nafsi yako ni morali ya kujijenga kimaisha, kwani hakuna kubebwa bure....Taifa lisilo na utamaduni wake ni mtumwa
Ninayo heshima yangu katika jamii, hivyo siwezi kutamka maneno yasio na maana.....Bure sikubali kupewa bidhaa yoyote wakati hela ninayo
Nini kina kusumbua....Maana ya quoted nini
Nukuu, nukuu zikiwa nyingi hupoteza muktadha wa jambo, KM ukifaulisha mzigo kutoka chini kwenda ghorofani utapoteza nguvu na kuchoka.....Kusumbua anasumbuliwa na maana ya neno hilo 'quoted', linamaanisha 'nukuliwa', qoute-nukuu
Kuchoka kupo lakini lazima uwe unapendelea kufanya mazoeziNukuu, nukuu zikiwa nyingi hupoteza muktadha wa jambo, KM ukifaulisha mzigo kutoka chini kwenda ghorofani utapoteza nguvu na kuchoka.....
Mazoezi ndiyo mpango mzima wa afiya yako, mwili imara hubeba akili kinara..... !!!Kuchoka kupo lakini lazima uwe unapendelea kufanya mazoezi
Kinara wa mazoezi ni yule anaekwenda gym na kukumbia mbio za riadhaMazoezi ndiyo mpango mzima wa afiya yako, mwili imara hubeba akili kinara..... !!!
Riadha ni utamaduni mkubwa wa nchi za magharibi ndiyo maana wanaongoza ktk mashindao..Kinara wa mazoezi ni yule anaekwenda gym na kukumbia mbio za riadha
Mashindano ya riadha tulikuwa na bingwa wetu miaka mingi iliyopita anaitwa Filbert Bayi lakini kwa sasa majirani zetu Kenya kila mara wanachukua TunzoRiadha ni utamaduni mkubwa wa nchi za magharibi ndiyo maana wanaongoza ktk mashindao..
Tunzo alilopata Bingwa wetu F'bayi ilitikisa ulimwengu wa riadha enzi hizo, Lakini alipowasili uwanja wandege wa nyumbani watumishi wa ukaguzi walitoza ushuru !!!!Mashindano ya riadha tulikuwa na bingwa wetu miaka mingi iliyopita anaitwa Filbert Bayi lakini kwa sasa majirani zetu Kenya kila mara wanachukua Tunzo
Ushuru muhimu mkuu serikali haina pesa, hivi unajua nchi za wenzetu mtu anaendelea kulipwa hafanyi kazi nyingine zaidi ya riadha tu, sasa hapa bongo kama wewe ni mwanariadha halafu huna kibiashara cha kujipatia kipato unaweza kufa njaaTunzo alilopata Bingwa wetu F'bayi ilitikisa ulimwengu wa riadha enzi hizo, Lakini alipowasili uwanja wandege wa nyumbani watumishi wa ukaguzi walitoza ushuru !!!!
Njaa ni yake lakini tunzo ni la Taifa ?!! khaaah... Bingwa wetu alijikamua na kujituma kunyanyua juu bendera yetu hatimaye adaiwe kodi !!!Ushuru muhimu mkuu serikali haina pesa, hivi unajua nchi za wenzetu mtu anaendelea kulipwa hafanyi kazi nyingine zaidi ya riadha tu, sasa hapa bongo kama wewe ni mwanariadha halafu huna kibiashara cha kujipatia kipato unaweza kufa njaa