medsebapol
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 327
- 225
Wabayaaa ni wale tu wanaosema magufuri kanunua ndege ambazo ata siafu awawezi kaa,wakati wenyewe hao awajawaigi fika hata airportwote wabaya wabayaaaaa
Wabayaaa ni wale tu wanaosema magufuri kanunua ndege ambazo ata siafu awawezi kaa,wakati wenyewe hao awajawaigi fika hata airportwote wabaya wabayaaaaa
Kutochezesha kwa refa kama huyu ni sawa tu, unajua mechi kubwa kama simba na yanga zinahitaji umakini mkubwamalipo ya refa/Mwamuzi wa mechi Simba na Yanga ni kifungo cha miaka miwili kutochezesha..
Mkubwa wa nchi hii ana nia njema ya kuitoa taifa ndani ya tope na uvundo ufisadi....Kutochezesha kwa refa kama huyu ni sawa tu, unajua mechi kubwa kama simba na yanga zinahitaji umakini mkubwa
Ufisadi awamu hii kwa kiasi kikubwa umefanikiwa kudhibitiwa na Mh MagufuliMkubwa wa nchi hii ana nia njema ya kuitoa taifa ndani ya tope na uvundo ufisadi....
Magufuli atafeli kama walivyofeli wengine
Allah ndiye atutiaye pumzi ya uhai ndiyo maana wengi wetu wapo toka post hii ilivyoandikwa mpka Leo ajapatikana Mshindi .mshindi apewe binti aliejaajaa Neema za Allah.
Mshindi atakuwa Bwana harusi au Bi harusi, maana fainali imekaribia......😛Allah ndiye atutiaye pumzi ya uhai ndiyo maana wengi wetu wapo toka post hii ilivyoandikwa mpka Leo ajapatikana Mshindi .
Imekaribia siku chache nitangazwe mimi ndo mshindiMshindi atakuwa Bwana harusi au Bi harusi, maana fainali imekaribia......😛
Mimi mwenyewe ushindi nautaka na nipo tayari kuupigania hatakama ikiwekwa miereka ulingoniMshindi hawezi kutangazwa mpaka apatikane, ila nadhani itakuwa ni mimi.
Me alone ndiyo ntaamua nimkabidhi nani ubingwa !!!ulingoni hakuna mchanga hapo mtanshinda maana tekniki yangu ni kukumwagia mchanga machoni halafu nakupa kipondo kama cha Jon Cena you cant see me.
Upatikane unafuu kwa historia nzuri na safi sio tu unasema unataka ubingwa halafu hiyo imani ya kushinda huna sababu unakata tamaa mapemaUbingwa wataka ufanyiwe mazoezi na nia ya dhati iwepo ili upatikane.
Kesho Mungu akipenda atatujaalia afya na uzima kwa wagonjwa wote na wenye matatizo mbalimbali dunianiMapema si sahihi kutabiri ushindi, huu mchezo hauishi leo wala kesho.
Dua na maombi ni jambo muhimu sana kwa binadamu na wote wanaoamini uwepo wa MunguDuniani wote tuseme Amina! Shukran kwa Dua.