Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Viwanda vinahitajika barani Afrika kote, Tushirikiane wate bila kutumia jazba, hulka na tabia ya kutimuana na kukana rai na fikra za mwengine, kwani ni kupoteza wakati na mwelekeo wa kujenga taifa la viwanda !!!!
Viwanda ni safari ndefu yenye misukosuko lakini wananchi tunaimani na Mh rais Magufuli tutafika
 
Hakai sisimizi kweli sababu ndege zinakaa watu na mizigo na tunajivunia ndege zetu na Tanzania yetu
yetu? Tanzania yetu? nani amewapa wamalawi ziwa nyasa mpaka leo hii linaitwa ziwa malawi? umeona mpaka ulivyosogezwa? nani aliesogeza ule mpaka kama sio wenye dunia yao? dunia ina wamiliki wake bro sisi yetu pumzi.
 
yetu? Tanzania yetu? nani amewapa wamalawi ziwa nyasa mpaka leo hii linaitwa ziwa malawi? umeona mpaka ulivyosogezwa? nani aliesogeza ule mpaka kama sio wenye dunia yao? dunia ina wamiliki wake bro sisi yetu pumzi.
Pumzi zetu ndo afya zetu na rasilimali zetu Tanzania ni za watanzania wote sio za watu wachache
 
Muumba anatupa rizki katika maisha yetu ya kila siku kwa viumbe wote pamoja na wadudu, ndege na wanyama. Hakuna mola ila ni yeye pekee
Pekee na'am umesema ya makini, zaidi niongeze kuwa Pekee Mungu katupendelea wasaa wa kuzunguka ardhini na bahari na angani kote ili tutafakari !!!
 
Back
Top Bottom