supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,968
Viwanda ni safari ndefu yenye misukosuko lakini wananchi tunaimani na Mh rais Magufuli tutafikaViwanda vinahitajika barani Afrika kote, Tushirikiane wate bila kutumia jazba, hulka na tabia ya kutimuana na kukana rai na fikra za mwengine, kwani ni kupoteza wakati na mwelekeo wa kujenga taifa la viwanda !!!!