Siwezi vunja sheria japo malalamiko yangu kupuuzwa......Kulitaja jina Lake siwezi
Kupuuzwa katika maisha ni jambo la kawaida, cha msingi ongeza juhudi na kutii sheriaSiwezi vunja sheria japo malalamiko yangu kupuuzwa......
Sheria haimhami asiyejua, ukikosea tu ina kula kwako na sheria itachukuwa mkondo.....!!Kupuuzwa katika maisha ni jambo la kawaida, cha msingi ongeza juhudi na kutii sheria
Mkondo unapokuwepo basi maji hufuatia, ufisadi na rushwa ndo umetufikisha pabayaSheria haimhami asiyejua, ukikosea tu ina kula kwako na sheria itachukuwa mkondo.....!!
Pema hapo ustaadhui alibakari umesema barakaallahu~fik, Maana wasaa wa wema ni lukuki..Pabaya paache kamata pema
Mema utendapo ni kama umepanda mmea wenye kuzaa matuna au mazao hivyo utavuna kheriLukuki upo wasaa, kinachotakiwa ni nia ya dhati kutenda mema
Hutoweka na kupotelea mbali wakiwemo mafatani na wachochezi wa hiyo shari balaa.......Kheri ikitawala, shari hutoweka
Balaa na majanga yataendelea kutuandama kama tukimuabudu shetaniHutoweka na kupotelea mbali wakiwemo mafatani na wachochezi wa hiyo shari balaa.......
Hayupo kivipi wakati madhambi na machafu yanasanabishwa na nafsi zetu kumuendekeza ibilisishetani hayupo

Unauliza swali au majibu kama jina lako la uliza nkujibu hapa Jamii Forumipi maana utakayo sababu umeona jamaa amepiga tinted kama msaga sumu halafu unauliza