Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

masikini nae anasema siwezi kulizwa hivi hivi lazma chenji irudi, anavunja viti uwanja wa taifa makusudikali
Makusudi kali yao ilitokea hayo ni heri kuliko kupoteza nafsi .., maana kwingine nchi za watu hutokea maafa zaidi ya hayo !! Hilo nalo liwe fundisho kwa matokeo ya mustakabali..!!
 
Mustakabali inabidi wajiulize faida ya kufanya uharibifu kama huo. Ndio mawazo yaleyale yanayofanyika katika maeneo mbali mbali kwamba kwa kuwa hatadaiwa mtu binafsi, basi ni sawa kufanya uharibifu, halafu tunajiuliza kwa nini hatuna maendeleo au vitu vizuri.
 
Back
Top Bottom