Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Pilau, kachumbari na ndizi-tunda ni mlo niupendao sana
 
Mwananchi una majukumu pia, sio kukaa kitako ukilalamika, janga likitndeka kwetu Kenya sisi huwa tunalichangamkia kabla ya serikali maana kawaida huwa kuna urasimu pale. Hivi hili shindano la mwisho ndo mshindi bado lipo, nilikuja humu nikakimbizana na wadau hadi nikatoweka mwenyewe, jameni mnajaza server ya watu......
Hahahahahaha hebu nione kama mtaendeleza hii, mimi ni pumbavu
 
Back
Top Bottom