Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
hiki kitendo cha kujisahau ni dharau kubwa juu ya maisha ya binaadamu hai na mwenye heshima ya kuishi kama MwanaAdam alotukuka..!!Ulazima wa kuwa tayari kwa majanga ya asili ni muhimu, sio kujisahau kiasi hiki