Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Alotukuka na mwenye thamani kwa utu wake, bahati mbaya ametopea kwenye dimbwi la umasikini, anajenga nyumba chini ya viwango, haifanyiwi ukarabati, majanga yakitokea inaanguka kirahisi
 
Alotukuka na mwenye thamani kwa utu wake, bahati mbaya ametopea kwenye dimbwi la umasikini, anajenga nyumba chini ya viwango, haifanyiwi ukarabati, majanga yakitokea inaanguka kirahisi
Kirahisi rahisi kumpuuza na kumdharau Mwanadamu mwenzio, ambaye ana thaminiwa na muumbaji alomtukuza na kuweka hai juu ya mgongo wa ardhi, iweje wewe leo upo madarakani usiwa nusuru na kuwa Fariji wanyonge !!!!?
 
Litapatikana pale siasa itakapowekwa pembeni na wananchi watakapowezeshwa. Hutegemei mpaka rais aseme nchi iwe ya viwanda ndio hilo litokee, kwa nini wenye pesa zao wanaogopa kuwekeza kwenye viwanda?
 
Jamani tukubali kuwa hatujitambui, nchi gani inategemewa kuendelea bila viwanda na kutegemea misaada? Utandawazi tuliupokea bila ya kuuelewa vizuri.
 
Jamani tukubali kuwa hatujitambui, nchi gani inategemewa kuendelea bila viwanda na kutegemea misaada? Utandawazi tuliupokea bila ya kuuelewa vizuri.
Vizuri kwanza ni kujitambua na kuacha ubabaishaji,ujanja na upindishaji.. hadi tuchukue hatua za kujikosoa hadharani.....
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Imara ulikuwepo kabla ya ubinafsi, hapo tulipo ingiliwa na uchu wa madaraka na ufisadi ndipo poromoko likatawala huduma za haki ya mwananchi....

Mwananchi una majukumu pia, sio kukaa kitako ukilalamika, janga likitndeka kwetu Kenya sisi huwa tunalichangamkia kabla ya serikali maana kawaida huwa kuna urasimu pale. Hivi hili shindano la mwisho ndo mshindi bado lipo, nilikuja humu nikakimbizana na wadau hadi nikatoweka mwenyewe, jameni mnajaza server ya watu......
Hahahahahaha hebu nione kama mtaendeleza hii, mimi ni pumbavu
 
Mwananchi una majukumu pia, sio kukaa kitako ukilalamika, janga likitndeka kwetu Kenya sisi huwa tunalichangamkia kabla ya serikali maana kawaida huwa kuna urasimu pale. Hivi hili shindano la mwisho ndo mshindi bado lipo, nilikuja humu nikakimbizana na wadau hadi nikatoweka mwenyewe, jameni mnajaza server ya watu......
Hahahahahaha hebu nione kama mtaendeleza hii, mimi ni pumbavu
Pumbavu la wote yule aliye enda kuiba nyumba ya wahanga wa tetemeko la ardhi..!!
 
Back
Top Bottom