atug
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,821
- 3,618
Njiani tena kwenye barabara ya mwendokasiMahusiano yakiwa mazuri ndoa ipo njiani
Njiani tena kwenye barabara ya mwendokasiMahusiano yakiwa mazuri ndoa ipo njiani
Kurudi kwa Air Tanzania angani ni moja ya muendelezo wa Tanzania mpya, Hapa kazi tu na Tanzania ya viwanda ishachopoza mapema !!mawili kwenda mawili kurudi
Mapema kama kuwika kwa jogoo alfajiriKurudi kwa Air Tanzania angani ni moja ya muendelezo wa Tanzania mpya, Hapa kazi tu na Tanzania ya viwanda ishachopoza mapema !!
Alfajiri wote inabidi tuamke tukafanye kaziMapema kama kuwika kwa jogoo alfajiri
Shule ni neno la kijerumani, School ni la kiengireza, Darasa/Madarasa ni la kiarabu na chuo ni kwa kiswahili !!!kazi kwa wafanyakazi, wasomi wanaenda shule.
Vizuri kuelewa kodi na nini maana ya kulipa kodi na manufaa yake, inapaswa kuelimishana....kiswahili asilimia kubwa kina maneno ya kiarabu, afu ukisema mwanafunzi wa la kwanza anaenda chuo inakua haijakaa vuzuri
Mfumo wa Kinyonyaji tuliimbishwa, tukajazwa kichwani, tukalishwa hadi kuvimbewa na tukapakazwa wanja machoni... Vipi sasa leo tunaramba na kumeza matapishi yetu wazawaa!!kuelimishana tunaelimishana sana ila mwisho wa siku ni kama unampigia mbuzi gitaa, watu wengi hawalipi kodi na mi siwalaumu, ni mfumo wa kinyonyaji.
Sana sana siku ya mapambano nitatoka baruwazawaa wazawaa tutajiita wazawa ila kiukweli hamna faida ya kuwa mzawa kama hakuna hata mmoja mwenye moyo wa kuipigania nchi yake, mimi binafsi sipo tayari, prezdaa mkiritimba sana.
Jerry mouse ni katuni za kuwaliwaza watoto....baru kama ile ya Tom & Jerry
Dukani ni mahala penye huduma za watumiaji, ila punguza sana kuwazoesha wanao/watoto kuelekea dukani... takawimu zimeonesha kuwa watoto huharibika njiani.....watoto wanaenjoy balaa, ukiweka hio kitu humtumi dukani.
Njiani watoto wanakumbana na vishawishi vingi hasa watoto wa kikeDukani ni mahala penye huduma za watumiaji, ila punguza sana kuwazoesha wanao/watoto kuelekea dukani... takawimu zimeonesha kuwa watoto huharibika njiani.....
watoto wa kike ni viumbe dhaifu Sana wanahitaji ungalizi na malezi ya Hali ya juuNjiani watoto wanakumbana na vishawishi vingi hasa watoto wa kike
Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app