fansureboy
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 271
- 320
Kweli hii tanzaniaSana ukikaa na kufikiria matukio yanayotokea katika nchi hii mengine yanastaajabisha kweli kweli
Kweli hii tanzaniaSana ukikaa na kufikiria matukio yanayotokea katika nchi hii mengine yanastaajabisha kweli kweli
Kweli kweli hata mie nimethibitisha leo hii kuwa kunahitajika kudhibiti nyakati za kazi idarani,serikalini maana muda wa kazi hupotea kwa mambo binafsi !!Sana ukikaa na kufikiria matukio yanayotokea katika nchi hii mengine yanastaajabisha kweli kweli
Ajabu ni kuona watu kutumia janga la tetemeko kujifaidishabinafsi zilidhishwi na mtiririko wa hii thread, kuna mvurugo wa ajabu ajabu
Mbaya hutambulika wakati wa shida !! Tusilamu wengi kwa makosa ya wachache.....kujifaidisha kwa kunyonya wanyonge mwisho wake mbaya
Wawajibishwe mbele ya hadhara ya halaiki ya watu ili wengine wasijaribu huo uzembe!!wachache hao inabidi wawajibishwe
Kona huwa inaliwa?? ati kiongozi wangu khalid nijuze kona inaliwajwe?Waandanamaji walipokutana na FFU waliosheheni kila aina ya Zana wenyewe walikula kona
Mkuu UN, kichochei gani wakati nipo ktk mwendo kasi wa kutafuta tonge ughaibuni !!inaliwajwe? unauliza swali kabisa wakati unajua kona hailiwi? hiko ni kichochezi tu mkuu
ughaibuni utakwenda wewe?Mkuu UN, kichochei gani wakati nipo ktk mwendo kasi wa kutafuta tonge ughaibuni !!

Wewe ni somo pekee, Wengine washa maliza chuo na kuhitimu maisha... Chukuwa hii fursa !ughaibuni utakwenda wewe?![]()
![]()
![]()

Living room yangu ina dirisha tatu zenye kuinguiza hewa na mwangaza mkubwa !!!fursa? kwani we wakala wa forever living?![]()
![]()
![]()

St. Claus hujulikana kwa jina la baba Noel !! jee huyu mzee alifia wapi na akazikwa wapi? mwenye kujua historia yake atumwagie !!!mkubwa pesa ndevu mwachie santa claus![]()
![]()
Atunwagie historia..? We subiri historia mpya ya mimi kuwa mshindi katika mchezo huuSt. Claus hujulikana kwa jina la baba Noel !! jee huyu mzee alifia wapi na akazikwa wapi? mwenye kujua historia yake atumwagie !!!