zaidi nikimkuta hajawahi kunaniiKe ndo anakufaa zaidi
zaidi nikimkuta hajawahi kunaniiKe ndo anakufaa zaidi
Jamani siku hizi vijana hawana staha.., wao kilicho mdomoni hupayuka bila kukadiria wachangiaji wengine wastaarabu !!Kunahii ndo nini jaman
hizi ni chuki dhidi yangu nisichukue ushindiWastaarabu no wavjavjw sana Sikh hiz
Hizi ni enzi za utandawazi, jipange ili uwe mwenye kuchangia fikra pevu !!!Wastaarabu no wavjavjw sana Sikh hiz
Kifikra nilisikitishwa kuona waTZ tumeduwaa na kupigwa bumbuwazi ktk maafa ya tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba... yaani hadi wakenya majirani MK254 kujaku helpu nasi huku tukibaki kulaumiana......!!!fikra pevu kuwa nazo ni lazima mwenyewe upevuke kifikra
kulaumiana kwa watanzania ni kawaida badala ya kufanya yenye maanaKifikra nilisikitishwa kuona waTZ tumeduwaa na kupigwa bumbuwazi ktk maafa ya tetemeko la ardhi lilotokea Bukoba... yaani hadi wakenya majirani MK254 kujaku helpu nasi huku tukibaki kulaumiana......!!!
Maana hiyo sisi waTZ hatuna maana !!! tupo tupo tu, lazima tuondoe ukoko na kutu hii iliyojijenga vichwani mwetu... hivi tupo mwaka 2016 duniani kweli.....??kulaumiana kwa watanzania ni kawaida badala ya kufanya yenye maana
kweli uliyoyazungumza ila nikichangia sana watasema mchocheziMaana hiyo sisi waTZ hatuna maana !!! tupo tupo tu, lazima tuondoe ukoko na kutu hii iliyojijenga vichwani mwetu... hivi tupo mwaka 2016 duniani kweli.....??
mchochezi ndiyo ora kuliko munafiki, maana mchochezi huamsha waliyo lala usingizi ili wawajibike, Mchochezi ni mtaifa mwenye uchungu wa taifa lake mchochezi ni mzalendo halisi..kweli uliyoyazungumza ila nikichangia sana watasema mchochezi
mzalendo halisi lazima apate misukosuko mingimchochezi ndiyo ora kuliko munafiki, maana mchochezi huamsha waliyo lala usingizi ili wawajibike, Mchochezi ni mtaifa mwenye uchungu wa taifa lake mchochezi ni mzalendo halisi..
Serikali inapenda ushawishi, tusiposhtuana tutabaki kuwa taifa la mipasho tu, ni bora kujenga kuliko kubomoa !!mingi ni mingi tu hata iwe ya serikali
Imara ulikuwepo kabla ya ubinafsi, hapo tulipo ingiliwa na uchu wa madaraka na ufisadi ndipo poromoko likatawala huduma za haki ya mwananchi....Kubomoa chochote ni rahisi kuliko kujenga. Taifa letu halina misingi imara
Kukicha kuna maajabu ya upotezaji wakati adhimu wa kujenga nchi, huku tunafikwa na madhila yasiyo na ulazima!!!Mwananchi badala ahamasishwe kuwa mzalendo, anashuhudia vitisho kila kukicha