Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

In Shaa Allah ndugu yangu ZZ nilikuwa na pilika za kawaida kabisa,ikawa kila nikitaka kuingia JF najikuta nipo hoi mtaniwia radhi kwa kimya changu
Changu ni yule samaki mtaamu akipikwa na tui la nazi... nakutamania Ndg Mtebetini siku moja nikualike turambe vidole vyetu....
 
Changu ni yule samaki mtaamu akipikwa na tui la nazi... nakutamania Ndg Mtebetini siku moja nikualike turambe vidole vyetu....
Vyetu vidole kuviramba si tatizo huenda ikawa tumekwishawahi kujumuika pamoja lakini kwa kuwa humu JF tumegubika uhalisia wetu,tukija kuonana itakuwa nderemo na vifijo.
 
Mwisho wa siku ikifika ni lazima tuonane wote ili tujumuishe jamaa hadharani na kuwa hadithia huo mnasaba !!!!!

Mnasaba utanoga sana sehemu ambayo wanamisosi murwa NI kija Dareslam NI
chief Pride hapo si mchezo chakula kizuri,mazingira Na bei nzuri
 
Mnasaba utanoga sana sehemu ambayo wanamisosi murwa NI kija Dareslam NI
chief Pride hapo si mchezo chakula kizuri,mazingira Na bei nzuri
Nzuri zaidi tutainogesha tukiwaalika ma alwatan wa JF na wageni wa mikoani naona M Qassim hapo kesha aanza kumezea mate !!!!
 
Back
Top Bottom