Habari wanaJF,<br /><br />Nnaomba tucheze mchezo unaitwa "wa mwisho ndo mshindi"......... Ni mchezo rahisi sana, unaanzisha sentensi kwenye neno la mwisho la sentensi aloandika mwenzako.<br /><br />Mfano:<br /><br />Ualimu Tanzania ni kazi ngumu kiasi<br /><br />Kiasi ambacho kama hukuzoea maisha ya tabu, utalalama kila siku<br /><br />Siku uianze vizuri bwana, ukiianza vibaya lazima utukane mwenzio<br /><br />Mwenzio ni mtu ambaye mnaweka hisia zenu pamoja bila kusalitiana kama dr. Ulimboka na madkatari<br /><br />Madaktari wa Tanzania wanahitaji kulipwa zaidi........ (tuendelee kwa mtindo huo wanaJF, wa mwisho ndo winner.. Karibuni sana)<br />