Waswahili ni kiboko wa barani Afrika tunatambulika kwa utamaduni na lugha iliyotanda mabawa yake ktk radio za waAfrika......Waswahili Na Lugha ya Kiswahili inazidi kusonga Ktk huu Ulimwengu.Alwatan naam ndio neno linalo faa kuwaongelea Waswahili
Kapakaziwa...! Daah siku hizi ndio kiki kijana
Kijana wa kiswahili lazima awe al-watan katika taifa hili lenye utajiri wa utamaduni mwingi chini ya mwamvuli wa SWAHILI language !!Kapakaziwa...! Daah siku hizi ndio kiki kijana
Naendeleza mukhtasari wa kuwapa heshima wana wa Afika mashariki kwa kuEnzi uswahili kama al-watan moja !!!Kijana Ringi tafadhali fata utaratibu wa maneno.
Huu mchezo una Sheria zake.Sheria NI hivi unaanza Na neno la mwisho la unaye mnukuu.
Mfano umemaliza Na Kijana Na Mimi naendeleza
Shabashi ulipo tua tu, nikajua umeguswa na adha za kusimangwa kwa waswahili hapo maofisini...!!Naendeleza wallah nandeleza zua mazozo jamvini mpka kitanuka tu shabashiii!!!!!
Naendeleza mukhtasari wa kuwapa heshima wana wa Afika mashariki kwa kuEnzi uswahili kama al-watan moja !!!


tatuuu !! Nne tano sita (Sitaaaa !!) Saba nane tisa 

tisaaaa !!! Kumi nimemalizaNimemaliza wote wenye kutuchafulia mila na jina la Wasahili adhimu !!Moja mbili tatutatuuu !! Nne tano sita (Sitaaaa !!) Saba nane tisa
tisaaaa !!! Kumi nimemaliza
Nimemaliza wote wenye kutuchafulia mila na jina la Wasahili adhimu !!
Makapera wana matatizo sana ktk jamii.
Forum ya Uchumi duniani ndiyo yenye uzito wa kuokoa ulimwengu kusambaratika...Jamii hii hii tunayoishi au humu Jamii Forum ?
Jambo la maana umetufananulia kwa bayana ndg Nsekwa shukran kwa maelezo !!!Kusambaratika husababiswa na wahusika kutoelewana hasa pale wanaposhindwa kuelewana namna ya kujua jambo