Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Walipaji kodi walifuatwa kwa njia ya nyuma na kuombwa rushwa baada ya kupewa vitisho, ndipo wakawa wanalipa kodi isiyo sajiliwa rasmi wala kuingia serikalini....

Serikalini kulikuwa NI janga la taifa maana kila kitu kilikuwa Dili Hata mahospitalini ilikuwa lazima uhonge ili utibiwe.Tra,polisi Na kila sehemu nyeti NI Dili tu.Wacha JPM atusomeshe namba.
 
Serikalini kulikuwa NI janga la taifa maana kila kitu kilikuwa Dili Hata mahospitalini ilikuwa lazima uhonge ili utibiwe.Tra,polisi Na kila sehemu nyeti NI Dili tu.Wacha JPM atusomeshe namba.
Namba imesomeka, ila walowahi kukamua maziwa wamemkondesha ng'ombe (nchi) na kubakiza na magonjwa, udhaifu na mahututi.... Sijui Dokta Veterani atapatikana kutibu !!!?
 
Namba imesomeka, ila walowahi kukamua maziwa wamemkondesha ng'ombe (nchi) na kubakiza na magonjwa, udhaifu na mahututi.... Sijui Dokta Veterani atapatikana kutibu !!!?

Kutibu!!!? ZZ Mzee wa Kaya ndio anawekea dawa maana maumivu NI makali Na kelele zinasikika kila sehemu.Lakini atapona Na kelele zitakwisha
 
Back
Top Bottom