mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,900
- 2,100
Ukuta !! ahsante kunijuza mkuu, Wanasiasa wanatuymbisha.....
Wanatuyumbisha ndugu ZZ Lakini hatuyumbuki
Ukuta !! ahsante kunijuza mkuu, Wanasiasa wanatuymbisha.....
Wanatyumbisha sana hawa wanasiasa Alisikika mwananchi akiongeaUkuta !! ahsante kunijuza mkuu, Wanasiasa wanatuymbisha.....
wajanja na wababaishaji ndo walojaa serikalini hupenda kupindisha maneno na maelekezo...Akiongea mtu mmoja alidai ukuta haukuwezekana kwani hela za saruji zimetafunwa na wajanja
wajanja na wababaishaji ndo walojaa serikalini hupenda kupindisha maneno na maelekezo...
Hiyo ndiyo mukhtasari wa njama za kugeuza haki kuwa batili... Uongozi ni kuwa mkweli na kutenda haki popote ulipo....Maelekezo? Duh mielekezo hewa hiyo
Hiyo ndiyo mukhtasari wa njama za kugeuza haki kuwa batili... Uongozi ni kuwa mkweli na kutenda haki popote ulipo....
Panya ni mdogo kwa umbo ila athari na adhaa zake ni komesha....hushambulia mazao !!!Ulipo,nilipo Na popote tulipo haki Na ukweli ndivyo husikilizwa Na havimsikilizi mtu.Wengi wetu tuna lalama kuhusu maisha magumu kumbe tunaishi Kwa kuigiza Na njia za panya.
Kabisa siwezi tena kurudia kupiga nyeto maana inanimalizia hamu ya mgegedo kwa wapenzi wangu.mazao ya nyanya na mahindi mwaka huu hayana bei kabisa
Kabisa siwezi tena kurudia kupiga nyeto maana inanimalizia hamu ya mgegedo kwa wapenzi wangu.
Utaheshimiwa Ndg mpendwa mgogoone kwa nasaha na ushauri wako unaowapa wachangiaji daima, Usichoke kutuelekeza na kutuufunza ustaarabu hadi tuwe waUngwana...Wangu T 1990 ELY hunahaja yakutumio hio Lugha kwani sio heshima katika huu mchezo
Maana wako wazee Na wakubwa wetu.Jiheshimu utaheshimiwa.
Waungwana siku hizi aghlabu kuwapata, staha imetoweka ndiyo sababu watu tuna kwazana kwenye matumizi ya lughaUtaheshimiwa Ndg mpendwa mgogoone kwa nasaha na ushauri wako unaowapa wachangiaji daima, Usichoke kutuelekeza na kutuufunza ustaarabu hadi tuwe waUngwana...
Lugha yako hii imenigusa na kunikumbusha wakongwe wengi waliyotangulia, kweli hawakujali mali wala jaha walilolijali ni kuunda utamaduni na malezi kwa vizazi vya kiswahili na umoja wa kitanzania.....Waungwana siku hizi aghlabu kuwapata, staha imetoweka ndiyo sababu watu tuna kwazana kwenye matumizi ya lugha
Kitanzania kwa karne hii kuropoka maneno ya hovyo ni sawia,nasi wa karne ile iliyopita ukikemea utovu wa nidhamu utaambiwa umepitwa na wakati.Lugha yako hii imenigusa na kunikumbusha wakongwe wengi waliyotangulia, kweli hawakujali mali wala jaha walilolijali ni kuunda utamaduni na malezi kwa vizazi vya kiswahili na umoja wa kitanzania.....
Wakati ni kama upanga ukifyeka huondoa kilichochipuka !! Yaani tutapambana na hao wavunjaji na waharibifu wa maadili na haki tamaduni zizingatiwe....Kitanzania kwa karne hii kuropoka maneno ya hovyo ni sawia,nasi wa karne ile iliyopita ukikemea utovu wa nidhamu utaambiwa umepitwa na wakati.
WaTanzania tusikubali kuchanganya mchuzi na maziwa....Kitanzania kilichopo nchini Tanzania kinawafaa Watanzania
WaTanzania tusikubali kuchanganya mchuzi na maziwa....
Maziwa ya ng'ombe ni mazur kuliko ya mbuziWaTanzania tusikubali kuchanganya mchuzi na maziwa....