Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Mabaya tuyafanyao hapa leo ndiyo tutakayo yavuna kesho na kuyakuta mbeleni Mashuhuda bila kukwepeka !!!!Duniani tu ZZ na akhera pia ukifanya mambo mazuri Na kukataza mabaya.
Mabaya tuyafanyao hapa leo ndiyo tutakayo yavuna kesho na kuyakuta mbeleni Mashuhuda bila kukwepeka !!!!Duniani tu ZZ na akhera pia ukifanya mambo mazuri Na kukataza mabaya.
Mwengine asiwe mnyonge wako..atakukaba koo siku ya hukumu !!!Mabaya usimfanyie mtu yeyote kama vile wewe hutopenda kufanyiwa mabaya na mwingine
Mabaya yote ambayo Jecha amewafanyia wazanzibar eti leo hii anapendekezwa na mkuu wa kaya apewe tuzo?
Mwengine asiwe mnyonge wako..atakukaba koo siku ya hukumu !!!
Mwisho wa ubaya ni aibuTunaendeleza kujichanganya angalia neno la mwisho
Aibu ni kutofanya kazi.. tuwajibike tuweze kujaza matumbo yetu na familiaMwisho wa ubaya ni aibu
Familia haijengwi kwa tofaliAibu ni kutofanya kazi.. tuwajibike tuweze kujaza matumbo yetu na familia
Jela unaenda pale unaposigina katiba.Mprekeshaji asipokuwa makini atajikuta yuko Jela
Tofali la maisha ni kauli nzuri kutoka mdomoni hivyo ukitaamka mema utajibiwa kwa wema na ukipayuka utumbo utalipwaFamilia haijengwi kwa tofali
katiba ni dira ya kuongoza taifa kuelekea mbele kwa mbele......hadi dumbwi ndani !!!Jela unaenda pale unaposigina katiba.
Katiba ya mchezo huu yatutaka kuanza na neno la mwisho la aliyekutangulia kuweka bandiko lake, sio kuendeleza bandiko utakalo weweJela unaenda pale unaposigina katiba.
Wewe umesema vizur sana, wengi wao hawajui katiba ya mchezo huu, wamezoea kukanyaga katiba zingine, hawajui tunauhuisha Uzi huu na jf kwa ujumla, kongole kwa muanzisha Uzi na Mimi piaKatiba ya mchezo huu yatutaka kuanza na neno la mwisho la aliyekutangulia kuweka bandiko lake, sio kuendeleza bandiko utakalo wewe
Pia nami nilichemka kwa kumreply mchangiaji wa mwezi August.. nimejikuta nadandia treni kwa mbele.Wewe umesema vizur sana, wengi wao hawajui katiba ya mchezo huu, wamezoea kukanyaga katiba zingine, hawajui tunauhuisha Uzi huu na jf kwa ujumla, kongole kwa muanzisha Uzi na Mimi pia
Pia nami nilichemka kwa kumreply mchangiaji wa mwezi August.. nimejikuta nadandia treni kwa mbele.
Ukuta ulichorwa lakini haukujengwa nini ilikuwa sababu....mbele kuendeleza UKUTA
Sababu kubwa hakukuwa na mashiko wa neno ukutaUkuta ulichorwa lakini haukujengwa nini ilikuwa sababu....
Ukuta !! ahsante kunijuza mkuu, Wanasiasa wanatuymbisha.....Sababu kubwa hakukuwa na mashiko wa neno ukuta