Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Wamekwazika na kubadili mwelekeo, ila umoja na umakini unakosekana katika adhma yao ya kuwa chama mbadala.
 
Wamekwazika na kubadili mwelekeo, ila umoja na umakini unakosekana katika adhma yao ya kuwa chama mbadala.
Mbadala utaamuliwa na wananchi na ridhaa ya wote !! Katiba ndiyo dira ya kutuongoza taifa letu, hivyo watake au wasitake masilahi ya Umma ndiyo kipaumbele... !!!
 
Muflisi hili neno geni miongoni mwetu,kuna tv moja ikiwa inatangaza habari huweka neno geni MUBASHARA
Mubashara ni neno la kiarabu yaani "kubashiria jambo live" na kwa kiingereza ni LIVE on air.. sasa ukiletewa ujumbe live hewani wasema Mubashara !! Kuhusu Muflisi ni mtu aliye filisika !!
 
Kumdhibiti Lowassa sharti atumbuliwe tu maana hakuna njia nyingine
Nyingine siyo busara kupoteza nguvu na nishati zetu za kimwili kwa kutafutana nam kukomoana, Tutume akili za kimaendelo na kujicomoa ktk shimo la huu umasikini........
 
Back
Top Bottom