Uongo siku hizi unatafsiriwa kama ukweliUkweli sikuzote unajitenga na uongo
Ukweli utabaki kuwa ukweli na uongo utabaki hivyohivyoUongo siku hizi unatafsiriwa kama ukweli
Hivyohivyo ulivo ndo mungu kakuumbaUkweli utabaki kuwa ukweli na uongo utabaki hivyohivyo
Nayo asubuhi imeingia, swabah al kheir waungwanaKakuumba na kakujalia utashi wa kujua yapi mema uyafuate na yapi mabaya uachane nayo
Njema huja kwa watu wema kwakuwa wanawaza na kufikiria mema, Sasa niwataarifu ndu.zangu nimeteremka TZA kwa ujio mwema.....!!Waungwana asubuhi ni njema, sijui wewe Khalidou, nawatakia siku njema!
mwema ni yule anayetenda matendo mema na kuwataarifu wengine kwa ujio wakeNjema huja kwa watu wema kwakuwa wanawaza na kufikiria mema, Sasa niwataarifu ndu.zangu nimeteremka TZA kwa ujio mwema.....!!
Wake wanne (4) ntawawezaje mie...? Kwanza acha nikusabahi BW hujambo na umzima wa Afya ?mwema ni yule anayetenda matendo mema na kuwataarifu wengine kwa ujio wake
Wake wanne (4) ntawawezaje mie...? Kwanza acha nikusabahi BW hujambo na umzima wa Afya ?
imesitishwa wapi mrembo wewe BW? ipo intact itakufikia hadi ulipo... kwani hujui tembo hasahau mkonga wake? Soon or later ntakutembelea.....Afya yangu muruwa sana ZZ umememezwa kwenye sayari gani hata zawadia ya ushindi imesitishwa
imesitishwa wapi mrembo wewe BW? ipo intact itakufikia hadi ulipo... kwani hujui tembo hasahau mkonga wake? Soon or later ntakutembelea.....
Duniani waTz tumesambaa, pole kwa safari ZZ na karibu Tz yetu
Matto yenu yanarembua na kuniacho pooooh !! ndg.zangu Auz, BW, Mtebetini,mgogo1 na wanajamiiF ashsanteni kwa ukarimu wenu..kweli huo ndo upendo na taadhima kati yetu kuji enzi !!!Yetu macho, au kwa kule MSA husema yetu Mato
Matto yenu yanarembua na kuniacho pooooh !! ndg.zangu Auz, BW, Mtebetini,mgogo1 na wanajamiiF ashsanteni kwa ukarimu wenu..kweli huo ndo upendo na taadhima kati yetu kuji enzi !!!
Mkuu wa kituo ananyanyasa na kudhalilisha wananchi......Enzi na Enzi, au masanja alikuwa akisema Enzi za Mwalimu ....., Kwani ulikuwa wapi Mkuu?