Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Salama itabaki kama wananchi wanathamini amani
Amani ni johari yenye thamani hutunzwa na kuEnziwa kwa imani na vitendo, mambo madogodogo au ushawishi wa vijiweni visitusukume kukurupuka, tuwe makini na wavumilivu kwa nguvu zote ndg. Ibn Ayoub duniani kila mtu anatabiya yake hivo tukubaliane......!!
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Tukubaliane kuwa mapungufu yapo kwa kila mtu, pa mwenzako palipopungua muongezee na wewe utatendewa hivyo hivyo.
Hivyo ndivyo utaifa unajengeka na uzalendo unaongezeka ndg. Auz umenene la maana na yunakuombea baraka zikufikie......
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Zikufikie..Amina ZZ! Baraka zitufikie wote, tuzidishiwe na busara ya kuweza kuishi pamoja kwa amani
Amani ikiwepo hufunika chuki, Amani ikitawala hutokomeza ukatili, Amani ikizingatiwa husambaratisha ubinafsi, Hivyo tuwe wakweli katika kulinda masilahi ya umoja wetu wa kitaifa !!!!!
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Kabisa itabidi jamii ijizatiti na kuungana ili kuongeza nguvu kwa upinzani kuwapa fundisho
Fundisho ni halali, kwani hauna aliyezaliwa na taaluma juu ya uongozi kwa sababu kiongozi wa kweli hawezi kuwahadaa wafuasi wake...., ndg. Prof Kibogoyo umeweza kulitambua kosa lao na wengi wamekwazika !!
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom