Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,262
- 18,251
Itakuaje kama yakitokea leo hayo mapinduzi...?Mapinduzi kila mtu anakariri tu.Lakini yakitokea sijui itakuwaje.
Itakuaje kama yakitokea leo hayo mapinduzi...?Mapinduzi kila mtu anakariri tu.Lakini yakitokea sijui itakuwaje.
Itakuaje kama yakitokea leo hayo mapinduzi...?
Muhimu kujitambua kwanza, Lazima ujue umetokea wapi, upo wapi, unaelekea wapi halafu utathmini hali halisi......Mapinduzi ya akili na mioyo yetu ni muhimu.
Mambo mazito yanamkabili Mwalimu mkuu katika changamoto za kuwadhibiti walimu wenye mahusiano na wanafunzi !!!Halisi inakupa ukweli wa mambo
Kazi kubwa ipo kuweza kuwatenganisha watu hawa wawili (waalimu na wanafunzi) maana mfumo wa shule zote lazima haya makundi mawili yawe na ukaribu sana ktk utekelezaji !!!Wanafunzi waachwe wasome, mwalimu yeyote anayeanzisha uhusiano usiofaa na mwanafunzi ni wa kuachishwa kazi.
Kazi ndio kila kitu katika maisha ya mwanaadam, akiachishwa vipi ataishi?Wanafunzi waachwe wasome, mwalimu yeyote anayeanzisha uhusiano usiofaa na mwanafunzi ni wa kuachishwa kazi.
Hayo ni mambo yaliyozoeleka na kuendekezwa na baadhi ya jamii, maana hawafuatilii mwenedo wa watoto na ndipo waalimu hujinyakulia fursa za kirahisi.......Utekelezaji wa majukumu uzingatiwe, mwalimu afundishe na mwanafunzi ajisomee, si zaidi ya hayo
Kirahisi inawezekana vipi mwalimu kujamiana na mwanafuzi!? Dunia imepinda na mwalimu afanyae hicho kitendo anakiuka maadili ya kazi yake, sheria ichukue mkondo wake,visa kama hivi viliwahi kutokea miaka ya nyuma japo wahusika hawakuwa walimu, walipewa adhabu ya kufungwa gerezani.Hayo ni mambo yaliyozoeleka na kuendekezwa na baadhi ya jamii, maana hawafuatilii mwenedo wa watoto na ndipo waalimu hujinyakulia fursa za kirahisi.......
Gerezani kumejaa wafunguwa hadi kufurika, Na kila siku idadi ya wahalifu inaongezeka....Kirahisi inawezekana vipi mwalimu kujamiana na mwanafuzi!? Dunia imepinda na mwalimu afanyae hicho kitendo anakiuka maadili ya kazi yake, sheria ichukue mkondo wake,visa kama hivi viliwahi kutokea miaka ya nyuma japo wahusika hawakuwa walimu, walipewa adhabu ya kufungwa gerezani.
Nayo uliyosema nikweli kabisa ya laiti hao wanasiasa wanao pandaga juu ya majukwaa wa elimishe wafuasi wao, badala ya kujitafutia umaarufu !!!Inaongezeka kwa kuwa hatuna suluhisho la kutengeneza ajira zaidi, hatutoi elimu juu ya madhali ya kufanya uhalifu ili raia wajiepushe nayo
Umaarufu hulevya kuliko hata cocaineNayo uliyosema nikweli kabisa ya laiti hao wanasiasa wanao pandaga juu ya majukwaa wa elimishe wafuasi wao, badala ya kujitafutia umaarufu !!!
Coconut milk (maziwa ya nazi) yamethibitsha kuwa ni dawa na tiba ya maradhi kadhaaUmaarufu hulevya kuliko hata cocaine
Kadhaa ungetaja baadhi ya maradhi kwa faida ya wagonjwa kupata tiba mbadalaCoconut milk (maziwa ya nazi) yamethibitsha kuwa ni dawa na tiba ya maradhi kadhaa
Mbadala wa madawa ya kemikali (chemist medicines) nataja kama ifuatayo:~Kadhaa ungetaja baadhi ya maradhi kwa faida ya wagonjwa kupata tiba mbadala