Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Imeliwa kwa sababu hapakuwepo ulinzi....![]()
![]()
[/Kweli nchi imeliwa
Imeliwa kwa sababu hapakuwepo ulinzi....![]()
![]()
[/Kweli nchi imeliwa
Ulinzi kwa sasa umeimarika mdio ukaona majipu yanatumbuliwaImeliwa kwa sababu hapakuwepo ulinzi....
Utaratibu ukiwa mzuri kwa walipa kodi nchi itapata maendeleoYanatumbuliwa majitu yanayotumia madaraka kinyume na utaratibu
Maendeleo na ulipaja wa kodi bila watendaji kuwa na uwajibikaji ni kama kutwanga maji kwenye kinuUtaratibu ukiwa mzuri kwa walipa kodi nchi itapata maendeleo
Ukoma unakimbiwa na kila taifa.... ila hapa kwetu tunaukumbatia kwa sababu za ubinafsi na hakuna wakukaribia.....Wanafiki ni watu wa kuogopa kama ukoma
Elimu ni bahari na wala haina mwishowapambe wa siku hizi hawana elimu
Kutokomezwa kwa ishu ya watumishi hewa serikalini kunatucost tunaosubiri ajira kutoka hukoMwisho yatawakuta kama yaliyotokea huko Misri kwa Mubarak na Tunisia kwa Zain bin Ali walifedheheshwa na kutokomezwa...!!!
Kawaida yao huchakachua sakata Fulani na baadae hujisahau na kurukia mambo mengine bila kutimamu ya muhimu.....Huko warekebishe hayo mapungufu haraka ili maisha yaendelee kama kawaida
Muhimu ni kupigania maisha yako, ukisubiri serikali utaumiaKawaida yao huchakachua sakata Fulani na baadae hujisahau na kurukia mambo mengine bila kutimamu ya muhimu.....
Utaumia vibaya usipo sikia la mkuu, kama wasemavyo waswahili "asie sikia la mkuu huvunjika guu" ila kila ndege huruka kwa ubawa wake...Muhimu ni kupigania maisha yako, ukisubiri serikali utaumia