Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Mawazo yenye maelekezo mema ni bora kuliko fedha taslimu zenye misimango....Tutachangia vipi wakati hatuna njuluku? labda kuchangia mawazo
Mawazo yenye maelekezo mema ni bora kuliko fedha taslimu zenye misimango....Tutachangia vipi wakati hatuna njuluku? labda kuchangia mawazo
Upo palepale Mpendwa sijabadilisha mash'kaji ....Misimango haiepukiki hasa ukiwa tegemezi Zamiluni upooooooo????
Mash'kaji wa maskani kwetu ni hodari ni hodari kwa upigaji wa punyeto.Upo palepale Mpendwa sijabadilisha mash'kaji ....
Sana kwa Afya au kwa lipiPunyeto ni mbaya sana
Lipi ulilolijua kwa umri ulionao? Sio kila utamu una faidaSana kwa Afya au kwa lipi
Faida ya asilimia 40% ipo katika biashara ya samaki.. vijana wakijipanga vizuri ktk uvuvi.....Lipi ulilolijua kwa umri ulionao? Sio kila utamu una faida
Uvuvi wa nyavu ndogo huuwa sana samaki wadogoFaida ya asilimia 40% ipo katika biashara ya samaki.. vijana wakijipanga vizuri ktk uvuvi.....
Wadogo kwa lugha ya siku hizi ni vifaranga vya samaki!!! Wa kale tulikuwa tunawaita dagaa.Uvuvi wa nyavu ndogo huuwa sana samaki wadogo
Walalahoi nijuavyo, ni wale watu wanaofanya kazi kutwa nzima, ikifika usiku wanakua wamechoka hoi bin taaban, ukiangalia hilo kwa jicho la tatu, utagundua kila mtu ni mlalahoi, awe mfanyakazi, mfanyabiashara, wa kushinda tu nyumbani hata watoto pia hulala hoi.Dagaa wana virutubisho vingi kwa mwili ila jamii inachukulia ni chakula cha walalahoi


Chini ya mti mkubwa mizizi iliyokomaa na kutapakaa......Hoi watu hulala kwa uchovu au uvivu, ila kwa tafsiri ya Mtikila ni wa kipato cha chini
Sifuri tu, kwa sababu masupastaa wametumilikisha zoezi la kuwafuatilia....Kutapakaa kwa skendo za masupastaa ni dakika sifuri tu
Kuwafuatilia wanaouza madawa ya kulevya ni kuyaweka maisha yako rehaniSifuri tu, kwa sababu masupastaa wametumilikisha zoezi la kuwafuatilia....
Rehani yako ujitose nafsi yako kwa kuokoa jamii... japo ni ngumu lakini hutosahaulika....Kuwafuatilia wanaouza madawa ya kulevya ni kuyaweka maisha yako rehani