Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Moto nakuwa nao nikosoma mada za humu JF.
Kuna Watu wanachuki Na mapovu mpaka unashangaa.Nime Na nina jifunza kustahamili Lakini wapi.Chuki Ni ugonjwa wa kuambukiza.Tumuombe MwenyeeziMungu atuzidishie mapenzi Na atuondolee chuki.
Chuki ya kwenye Moyo wa binadamu adui wa uelewano na busara inatakiwa kuweza kutoa In Shaa Allah tutafanikiwa
 
Back
Top Bottom