Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Njema huzaa vyema !! Ukijiweka vyema siku zako zote zitakuwa eiddi... smile utabasamu utazawadiwa utaamu !!Pamoja tutadumu! Shukran Mtebetini, nami nawatakia wote Eid El Fitr njema!
Njema huzaa vyema !! Ukijiweka vyema siku zako zote zitakuwa eiddi... smile utabasamu utazawadiwa utaamu !!Pamoja tutadumu! Shukran Mtebetini, nami nawatakia wote Eid El Fitr njema!
Utamuu wa salamu zenu ndiyo umenifanya nirudi tena ukumbini kutoa zangu shukuran kwa mlivyo onyesha upendo wenu wa dhati kujibu zangu salamu.Mengi tumejifunza na tunaendelea kujifunza naomba kusema kuwa tuzingatie ushauri wa kila mmoja wetu ili kudumisha uhusiano wetu unaozidi kuchanuaNjema huzaa vyema !! Ukijiweka vyema siku zako zote zitakuwa eiddi... smile utabasamu utazawadiwa utaamu !!
Kuchanua lazima uchanue mkuu maana wana jf wengi ni wakarimu na wana upendo mno, bila kujali tofauti ya kiimani, kikabila, kiitikadi nk. Napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia idd njema wale wote wanaosherehekea sikukuu hiiUtamuu wa salamu zenu ndiyo umenifanya nirudi tena ukumbini kutoa zangu shukuran kwa mlivyo onyesha upendo wenu wa dhati kujibu zangu salamu.Mengi tumejifunza na tunaendelea kujifunza naomba kusema kuwa tuzingatie ushauri wa kila mmoja wetu ili kudumisha uhusiano wetu unaozidi kuchanua
Hii sikukuu kweli ni yetu wote nakubaliana nawe Mkuu miaka nenda miaka rudi tumekuwa kitu kimoja katika sherehe za EiddieKuchanua lazima uchanue mkuu maana wana jf wengi ni wakarimu na wana upendo mno, bila kujali tofauti ya kiimani, kikabila, kiitikadi nk. Napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia idd njema wale wote wanaosherehekea sikukuu hii
Eiddie na idd nadhani zote sio spelling sahihi, nadhani inaandikwa Eid. Eid Mubarak kwa woteHii sikukuu kweli ni yetu wote nakubaliana nawe Mkuu miaka nenda miaka rudi tumekuwa kitu kimoja katika sherehe za Eiddie
Wote mlioguswa na uzi huu nawatakieni maisha ya furaha na Amani.... Nina Imani kuna siku tutakutana live japo mmoja baada ya mwengine "kwani binaadamu huonana/hukutana ispokuwa milima haionani/haikutani....Eiddie na idd nadhani zote sio spelling sahihi, nadhani inaandikwa Eid. Eid Mubarak kwa wote
Wote mlioguswa na uzi huu nawatakieni maisha ya furaha na Amani.... Nina Imani kuna siku tutakutana live japo mmoja baada ya mwengine "kwani binaadamu huonana/hukutana ispokuwa milima haionani/haikutani....
Halisi ya kuonana macho kwa macho ni moja za tiba (therapy) furaha iliyoje, maana kama vile kwa wachimba migodi wanavyo discover miamba ya madini.......😀😀😀Haionani/haikutani halikadhalika Ardhi na Mbingu pia havigusani
ZZ mi ni mmoja wapo nilieguswa na uzi huu nasema ahsante kwa salamu zako,mi nina amini ipo siku tutakutana live Mola akipenda In Shaa Allah.
Japo tuna majina bandia tutafahamiana kwa majina yetu halisi.
Mabaya hayatadumu na mema hayapotei.. tutende mema na twende zetu tutayakuta matunda yake huko mbele.....Kibaya usemavyo ni sawia muhimu kukumbushana mema na kukatazana mabaya
Mbele ya haki hakuna dhulma ya aina yeyoteMabaya hayatadumu na mema hayapotei.. tutende mema na twende zetu tutayakuta matunda yake huko mbele.....
Kitu kibaya kama hujaoaMawazo ya ngono na Iddi hii ni kitu kibaya
yeyote yule atakayekuwa tayari kutoka na mimi anitaarifu mapema.Mbele ya haki hakuna dhulma ya aina yeyote
Mapema yote hii ushaamka we mwanawaneyeyote yule atakayekuwa tayari kutoka na mimi anitaarifu mapema.
Mwanawane hili neno ni la watani zetu wanyamweziMapema yote hii ushaamka we mwanawane
Wanyamwezi ni kama moyo na hub ya makabila zote nchini, maana wao ndiyo wapatanishaji, wao ndiyo mabinamu, wao ndiyo washenga, wao ndiyo watani na wao wapokezi na wasindikizaji.....Mwanawane hili neno ni la watani zetu wanyamwezi
Wasindikizaji wakumpeleka mwali JandoniWanyamwezi ni kama moyo na hub ya makabila zote nchini, maana wao ndiyo wapatanishaji, wao ndiyo mabinamu, wao ndiyo washenga, wao ndiyo watani na wao wapokezi na wasindikizaji.....
Jandoni ni neno geni kwa vijana wa Y2KWasindikizaji wakumpeleka mwali Jandoni
Y2K nini chake Kirefu?Jandoni ni neno geni kwa vijana wa Y2K