Raha ipo Jf hasa Zamiluni Zamiluni akiwepoKaraha ya nini kwani kila kitu ni raha
Akiwepo kwa ukamilifu wako..ZZ ni kama jani kwenye mti mkubwa ulostawii hadi watu wamesifia na kusema "amaizing' !!!Raha ipo Jf hasa Zamiluni Zamiluni akiwepo
Burudani ya hapa JF ina raha yake hasa kwenye huu ukumbi tunaowasilianaAmazing jinsi wana JF tunavyouthamini uwepo ZZ kati yetu, ni burudani.
Duniani tumekuja ili tumtumikie MUNGU ili mwisho atupatie tuzo ya thamani!Tunasahaulika kama ilivyotokea kwa mababu na mabibi zetu. Wakati mwingine najiuliza nini dhamira ya kuzaliwa hapa duniani?
Thamani ya udugu wao ni kubwa mnoDuniani tumekuja ili tumtumikie MUNGU ili mwisho atupatie tuzo ya thamani!
Mno udugu wa kikombe si udugu wa kisahani wamezaliwa pamoja lakini hawajuwaniThamani ya udugu wao ni kubwa mno
Hawajuwani ilhali wanakaa kwenye kabati mojaMno udugu wa kikombe si udugu wa kisahani wamezaliwa pamoja lakini hawajuwani
Moja kwa moja mpaka bandari kavu!Hawajuwani ilhali wanakaa kwenye kabati moja
Kavu kuliko kaukau au mabaki ya sambusa yenye ukakasi baada ya futari... leo tunamalizia mfungo !!!Moja kwa moja mpaka bandari kavu!
Mrefu tuliona mwezi mtukufu wa Ramadhani ulipoanza kumbe ni siku chache sana,shukura sana ZZ kwa mwaliko nami nawatakia kheri Eddie Fitr njema kwa wanajamvi wote kwa kuwataja wachache nianze na Mgogo1,Zuly, Zemarcopolo nimepokea salamu zako,Auz bila kumsahau Amazing na wengine wote ambao sikuwataja mtanisamehe naomba tuwe pamoja.Nawapongeza washiriki wote wa uzi huu mrefu...
Mrefu tuliona mwezi mtukufu wa Ramadhani ulipoanza kumbe ni siku chache sana,shukura sana ZZ kwa mwaliko nami nawatakia kheri Eddie Fitr njema kwa wanajamvi wote kwa kuwataja wachache nianze na Mgogo1,Zuly, Zemarcopolo nipokea salamu zako,Auz bila kumsahau Amazing na wengine wote ambao sikuwataja mtanisamehe naomba tuwe pamoja.
Eid Mubarak wanajamvi wotePamoja na wengine humu ndani, tunapenda kukutakia sikukuu njema ya Eid...
Pamoja tutadumu! Shukran Mtebetini, nami nawatakia wote Eid El Fitr njema!Mrefu tuliona mwezi mtukufu wa Ramadhani ulipoanza kumbe ni siku chache sana,shukura sana ZZ kwa mwaliko nami nawatakia kheri Eddie Fitr njema kwa wanajamvi wote kwa kuwataja wachache nianze na Mgogo1,Zuly, Zemarcopolo nimepokea salamu zako,Auz bila kumsahau Amazing na wengine wote ambao sikuwataja mtanisamehe naomba tuwe pamoja.
ukurasa mpya mweupe pee..... tujenge utu mbele kabla ya vitu !!Sikukuu ni siku maalum ya kuishi tofaiti na masiku yaliyopita