Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Labda nikuelimishe kidogo al-wakat muswadik, kama unataka kuchangia huu UZI utaanza sentensi yako kwa kuanza na neno la mwisho lilioandikwa kwenye post ya mwisho mfano:-
Umeandika:-
Baba ni mwalimu
Anaefata ataanza na:-
Mwalimu ni mkali
Mkali ni jina la mchezaji wa kimataifa wa South Sudan...!!!
 
Wilaya ya Rufiji ni kongwe lakini maendeleo yake, afadhali Kisarawe ina nafuu
 
Back
Top Bottom