Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Majukumu ukiyakwepa ni kama wajichimbia kaburi, maana hatma nzito itakufunika !Kusuasua ndio mtindo wa Watu ambao hawapendi majukumu.
Majukumu ukiyakwepa ni kama wajichimbia kaburi, maana hatma nzito itakufunika !Kusuasua ndio mtindo wa Watu ambao hawapendi majukumu.
Itakufunika na ukose la kufanyaMajukumu ukiyakwepa ni kama wajichimbia kaburi, maana hatma nzito itakufunika !
kufanya uzembe kazini ni kama kumwaga kitoweo chako.....Itakufunika na ukose la kufanya
Majukumu ukiyakwepa ni kama wajichimbia kaburi, maana hatma nzito itakufunika !
Ahsante kwa taarifa yako!Itakufunika maana hautakuwa pa kukimbilia.
Iko siku nilikwenda mazikoni Kwa rafiki yangu alie tangulia mpele ya haki.Kwenye mila zao hawamwagii mchanga kwenye makaburi Na makoleo Ila magrader ndio yanamwaga.
ZZ Hii ndio siku pekee niliyo iona mtu anafunikwa.Hata tukiji shebedua kivipi sio lolote wala chochote.
Ahsante kwa taarifa yako!
Chochote kinaweza kukutokea kama huna mazoea ya kuhudhuria mazishi ya binaadamu mwenzio, Sasa kama ulivyosema hayo mazishi alikupa taswira la kujitambua....!!
Kuyajua maarifa yaliyo mfikisha ndugu Mgogoone kuwa bingwa ni vigumu....😀Kujitambua Ni muhimu sana.Wengi wetu tunaishi maisha ya maigizo.Ziko methali nyingi zinazoongelea maigizo.Lakini mpaka uwe Na Hekima kuyajua.
Kuyajua maarifa yaliyo mfikisha ndugu Mgogoone kuwa bingwa ni vigumu....😀
Elimu hii ni kama kisima cha maji inapatikana nadra sana, maana vianzo ni miferiji na mito chini kwa chini hukusanyika na kuelekeza mkondo kisimani.....Vigumu sio kweli ZZ.hili darsa la JF lina Elimu nyingi Kama Maji ya bahari ya Hindi.Sisi tunajichotea Elimu Hii
Kisimani cha hekima humu ni ZZ na Mg1,Blai Mg1 pole kwa majukumuElimu hii ni kama kisima cha maji inapatikana nadra sana, maana vianzo ni miferiji na mito chini kwa chini hukusanyika na kuelekeza mkondo kisimani.....
Majukumu ya mchakato wa kutanua wigo wa lugha umetupa wewe muadhama Mtebetini ili tuyafikishe kwa wapendao hii lugha .....Kisimani cha hekima humu ni ZZ na Mg1,Blai Mg1 pole kwa majukumu
Lugha kiswahili ni mwanana na inazidi kupaa duniani, inasemekana ni lugha ya pili inayozungumzwa kwa wingi katika bara la Afrika ikitanguliwa na kiarabuMajukumu ya mchakato wa kutanua wigo wa lugha umetupa wewe muadhama Mtebetini ili tuyafikishe kwa wapendao hii lugha .....
Kiarabu siku hizi kina zungumzwa huko uchina.. kwani wafanya biashara wengi wanahemea huko... Lakini Kiswahili kinasambaa kwa haraka kwani idhaa nyingi za redio !!!Lugha kiwsahili ni mwanana na inazidi kupaa inasemekana ni lugha ya pili inayozungumzwa kwa wingi katika bara la Afrika ikitanguliwa na kiarabu
Kukisoma utafanikiwa kuwa mkalimani wa kimataifa....Kweli vp kuna soko tujitahid kukisoma
Kimataifa kuna jirani zetu wametuzidi ujanja wamekamata nyanja ya ufundishajiKukisoma utafanikiwa kuwa mkalimani wa kimataifa....
Duuuhh naona hatufati utaratibu wa kuchangia kama alivyokusudia mleta UZIDaah tatizo magepu duuh
Hajachangia kweli hatujui kwanini, ila ya mungu mengi labda kahamia akhera au kaopowa nyota ya jaha.....!!!Uzi ulianzishwa na Wambuzi, yuko wapi huyu mwanachama, ni kipindi kirefu hajachangia