kidaganda
JF-Expert Member
- Aug 26, 2013
- 2,997
- 2,577
Wanaingia kwenye drugs mwisho wa siku vipaji vinakufa.Wapo na wakitoka wangine wanaingia
Wanaingia kwenye drugs mwisho wa siku vipaji vinakufa.Wapo na wakitoka wangine wanaingia
Vinakufa kwa sababu wamekiuka maadiliWanaingia kwenye drugs mwisho wa siku vipaji vinakufa.
Maadili ya kiasilia tutayarudisha hata kwa upanga.. hatutasalimu amri kwa vizazi vipya !!!Vinakufa kwa sababu wamekiuka maadili
Kitu au vitu havina thamani maisha ya mbinguni.Masilahi ni muhimu Sana kuyajuwa mapema kabla hujatenda kazi au kuuza kitu.
Imani ya mcha Mungu ina ambatana na matendo memaMbinguni hakuhitaji vitu, kunahitaji Imani
Wenzako ukiwatendea wema watakuheshimu na kuwa mfano wa kuigwaMema unayotaka utendewe na wengine, nawe uwatendee binadamu wenzako
Kuigwa kwako ndugu mtebetini ni mfano mzuri kwa vijana wetu hawa ili waweze kuhimili prikapirika na mitikiso....Wenzako ukiwatendea wema watakuheshimu na kuwa mfano wa kuigwa
Tuhahe sababu gani wkati kila jambo linasubiri mudamitikiso ya jana ilitufanya tuhahe
Ukawa na wengine wote inabidi wasubiri kwa miaka minne kuingia madarakanimuda ndio utakaotujulisha tuendelee na serikali ya majipu au ukawa
(Salaam na taadhima kwako ndg. Mtebe.. hatujawasiliana mda sasa)Ukawa na wengine wote inabidi wasubiri kwa miaka minne kuingia madarakani


(Salaam nimezipokea ndugu yangu ZZ dunia imetuzonga ndiyo sababu kupotezeana)(Salaam na taadhima kwako ndg. Mtebe.. hatujawasiliana mda sasa)
Madarakani siyo kwa kila ajae au apitae njia, Nafasi hizo zinalazimisha kwanza usheheni wa uzalendo na utaifa....
Mabawa ya maji au mabawa ya mwewe? Mbawa zimekuhamisha maskani kukupeleka wapi?(Salaam nimezipokea ndugu yangu ZZ dunia imetuzonga ndiyo sababu kupotezeana)
utaifa na Uzalendo vyote vimeota mbawa
Wapi niende bado nipo hapa kwenye jiji la mzizimaMabawa ya maji au mabawa ya mwewe? Mbawa zimekuhamisha maskani kukupeleka wapi?