Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Rasilimali tutazisikie hiviivi tu...Samahani kama ntawakwaza waTZ wenzangu KM:- nchi nyingi hutajwa kuwa wana R/M lakini njaa, ufakiri na Maradhi ndiyo nembo isiyotoweka !!!
Isoyotoweka ni shida Tanzania pamoja na rasilimali tulizo nazo.
 
Tulizonazo ni nyingi rasilimali, ila rasilimali watu wenye maono haijajipanga ili ifaidike na rasilimali mazingira.
 
Mazingira tulivyoyaharibu yameleta mabadiliko ya hali ya hewa
Hewa yetu sasa ni mparaganyo!! Mabonde yetu sasa ni machismo yaliyotelekezwa !! Maji yetu sasa ni kontaminetedi !!makazi yetu sasa ni mbanano tupu, sogea tukaae !! yaani hali iinajieleza kuwa taabani ibin tafraani..
 
Hewa yetu sasa ni mparaganyo!! Mabonde yetu sasa ni machismo yaliyotelekezwa !! Maji yetu sasa ni kontaminetedi !!makazi yetu sasa ni mbanano tupu, sogea tukaae !! yaani hali iinajieleza kuwa taabani ibin tafraani..
Tafraani ya hali ya juu kupita maelezo mabondeni kote watu wamejenga majumba kuanzia Mzamia Lulu,kwa Buruda msimbazi mpaka Segerea na kinyerezi.
 
Tafraani ya hali ya juu kupita maelezo mabondeni kote watu wamejenga majumba kuanzia Mzamia Lulu,kwa Buruda msimbazi mpaka Segerea na kinyerezi.
Kinyerezi wakazi wake wengi ndiyo waliokuwa wakiipigia debebe na kushabikia siasa, leo wameisoma na namba na wamepata fadhila stahiki.....
 
Stahiki kwa kuwa siasa nsiyo inatawala duniani huwezi kuikwepa na kushabikia wanasiasa ni kama kucheza kamari
Kamari hiyo yenye ushindi 100% upande mmoja... Khaaah wajanja waishi MASAKI/Oysterbay na washangiliaji wakaishi madongo poromoka.....
 
Poromoka mpaka chini likawafukia nyote mkafa hakuna aliepona hata mmoja nikabaki mimi peke yangu ndio nikaweza kujijulisha kama ndio mshindi maana hakuna wa kushindana nae nyote mmekufa.😱😀
 
Mmekufa! Usijidanganye kuwa kuna wa mwisho, hii itaendelea tu, wachangiaji wapo
 
Back
Top Bottom