Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Wao bora wapige dili kwa manufaa yao sio kwa ustawi wa jamii
 
Mbadala upi ZZ MwenyeeziMungu anasema Kwa mwenye kuomba
najibu suali lako...
Kuomba na kuombeana pamoja sawa, Sasa mkuu MG1 hivi mfano wewe umenitendea (dhulma/mateso/ibia/hiyana/tapeli haki stahiki, nk nk) halafu mie sikuwahi kukusamehe katika uhai na nikatangulia mbele ya haki !!! wewe ukajaaliwa kuishi na dhamira yako inakusuta mara kwa mara vipi unilipe tendo la haki yangu wakati mie sipo? So katika hili ni lazima utoe fidia/mbadala
Ambayo ni swadaqa kwa jina langu... ili uweze kukubalika msamaha wako kwa M/Mungu !!!
(Ona kazi hiyo ~~ Sasa hao wenye kutapeli na kuzika mali/amana za watu wataipata)
 
najibu suali lako...
Kuomba na kuombeana pamoja sawa, Sasa mkuu MG1 hivi mfano wewe umenitendea (dhulma/mateso/ibia/hiyana/tapeli haki stahiki, nk nk) halafu mie sikuwahi kukusamehe katika uhai na nikatangulia mbele ya haki !!! wewe ukajaaliwa kuishi na dhamira yako inakusuta mara kwa mara vipi unilipe tendo la haki yangu wakati mie sipo? So katika hili ni lazima utoe fidia/mbadala
Ambayo ni swadaqa kwa jina langu... ili uweze kukubalika msamaha wako kwa M/Mungu !!!
(Ona kazi hiyo ~~ Sasa hao wenye kutapeli na kuzika mali/amana za watu wataipata)

Wataipata ZZ nashukuru Kwa kunielimisha.
Haki huwa inasikilizwa ingawa inachoma choma
 
Mabaya mengi tunayotenda wanaadamu ni msukumo wa shetani muovu.
 
Back
Top Bottom