maestrocurry
Member
- Jun 13, 2016
- 20
- 10
Mengine tutakusamehe maguful ila co hil la kubana demokrasiaWatanzania wengi hatuna uchoyo au ubinafsi kama mataifa mengine....
Mengine tutakusamehe maguful ila co hil la kubana demokrasiaWatanzania wengi hatuna uchoyo au ubinafsi kama mataifa mengine....
Demokrasia inahitaji hatuwa ndogo ndogo kupanda ngazi za kufika huko kwenye uhuru wa kuitekeleza, Mkuu hukuona waliyokurupuka kutaka demokrasia huko mashariki ya kati.......?Mengine tutakusamehe maguful ila co hil la kubana demokrasia
Kati ya mambo ya kuangalia ni hiyo Demokrasi hakuna uhuru usiokuwa na mipaka tusikaririshweDemokrasia inahitaji hatuwa ndogo ndogo kupanda ngazi za kufika huko kwenye uhuru wa kuitekeleza, Mkuu hukuona waliyokurupuka kutaka demokrasia huko mashariki ya kati.......?
Utu ni salaha muhimu ya kujenga umojaTusikaririshwe wanayofanya wengine, kwani wako katika mazingira tofauti na ya kwetu, ila hapa kwetu tusikandamizane na tuzingatie utu.
Umoja ni vigumu kupatikana kwa asilimia 100% lazima kutakuwa na kutofautiana jambo la muhimu kila kuheshimiana na kuvumilianaUtu ni salaha muhimu ya kujenga umoja
Umoja ni vigumu kupatikana kwa asilimia 100% lazima kutakuwa na kutofautiana jambo la muhimu kila kuheshimiana na kuvumiliana
kakutapeli kwa uzuzu wakoKuvumiliana ndio muhimu wa maisha.Auz karibu.Watanzania wengi Ni watu wazuri Na waaminifu.Wako Wachache ambao sio waaminifu ndio wanaotuwekea madowa.Leo Hii WaTanzania tunaitana Matapeli sababu mtu mmoja kakutapeli.
kakutapeli kwa uzuzu wako
Miujiza haikosekani maishani! Leo kutapeliwa imekuwa uzuzu au watu kukosa uaminifu?
Uaminifu ni muhimu sana maishani...
Utimizwe uadilifu wako ili uishi maisha ya kawaida bila shinikizo na jaka moyoMaishani ZeMarcopolo uaminifu ndio mfumo wa maisha.Ahadi ambayo haitimizwi ni kukosa uaminifu.Wengi wetu tunafikiri uaminifu Ni kwenye Pesa tu Lakini sio kweli.Ukiahidi Wakati ambao Ni muhimu kuliko pesa lazima utimizwe.
Utimizwe uadilifu wako ili uishi maisha ya kawaida bila shinikizo na jaka moyo
Nijuzwe kila kitu kinasingiziwa Moyo mi nilikuwa na maana kuwa ukiwa na wasiwasi mapigo ya moyo yataenda mbio na mapigo yakienda mkuku utaanza kutaharuki shinikizo la damu litapanda matokeo mwili utaathirikaMoyo Unasingiziwa kila kitu Mtebetini sijui Kwa nini.Naomba nijuzwe
Nijuzwe kila kitu kinasingiziwa Moyo mi nilikuwa na maana kuwa ukiwa na wasiwasi mapigo ya moyo yataenda mbio na mapigo yakienda mkuku utaanza kutaharuki shinikizo la damu litapanda matokeo mwili utaathirika
Rufiji ni moja ya wilaya tajiri imesheheni vyanzo vingi vya mapatoUtaathirika kwaswa Kwa kula kuku matahira
Kwa msemo wa sio mwingine Ila Mdengostan
Wa Rufuji
Rufiji ni moja ya wilaya tajiri imesheheni vyanzo vingi vya mapato
Mizuri sio issue tatizo tunarudi kule kule wajanja na wababaishajiMapato mengi yatapatikana Kama miundo mbinu Ni mizuri
Mizuri sio issue tatizo tunarudi kule kule wajanja na wababaishaji