Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Halisi hushindwa na mazingira yasiyokuwa na akiba......Jazanda? Huo ndiyo ukweli wa hali halisi
Halisi hushindwa na mazingira yasiyokuwa na akiba......Jazanda? Huo ndiyo ukweli wa hali halisi
Akiba si vibaya kuwa nayo kwa sababu haioziHalisi hushindwa na mazingira yasiyokuwa na akiba......
Haiozi hasa ikihifadhiwa sehemu salamaAkiba si vibaya kuwa nayo kwa sababu haiozi
Haiozi lakini ina Expire mwisho kwa matumizi.....Akiba si vibaya kuwa nayo kwa sababu haiozi
Salama Salimu Salmini......Haiozi hasa ikihifadhiwa sehemu salama
Salmin Khan muigizaji maarufu WA IndiaSalama Salimu Salmini......
India ni nchi pekee inayo ongoza kwa kwa demokrasiya ulimwenguni......Salmin Khan muigizaji maarufu WA India
Ulimwengu upo katika mtikisiko WA uchumiIndia ni nchi pekee inayo ongoza kwa kwa demokrasiya ulimwenguni......
Uchumi wa America ukiyumba kidogo tu taathira zake hufika kila sehemu kama mawimbi.....Ulimwengu upo katika mtikisiko WA uchumi
Mawimbi ya bahari ikichafuka msukosuko wake hufika mpaka ufukweniUchumi wa America ukiyumba kidogo tu taathira zake hufika kila sehemu kama mawimbi.....
Ufukweni walipofika waarabu karne ya kumi na nne walizaana na wazawa...Mawimbi ya bahari ikichafuka msukosuko wake hufika mpaka ufukweni
Uhakika wakuficha sukari ni kutaka kupandisha bei......Akiba bank ndio bank ya uhakika
Mataa yaliyopo barabara kuu haziwaki sijui wahusika tatizo hili wanalijuwa?Mpaka ufukweni siku hizi kuna foleni, kama ubungo mataa
Tupu za wasanii wa kizazi kipya inatumika kimatangazo.., pasipo idhiniWanalijuwa ilo kwamba wa bunge wa CCM safari hii hatari tupu cjui ndio hisani au fadhila maana hatari tupu
Idhini ya kutangaza mpaka itolewe na Mamlaka inayosimamia MatangazoTupu za wasanii wa kizazi kipya inatumika kimatangazo.., pasipo idhini
Matangazo ya vifo baada ya Taarifa ya Habari RTD ndio ilikuwa njia nyepesi ya kufikisha habari za msiba miaka wa Mwalimu. Simu hakuna, Barua zinachukua miezi. Nchi hii imetoka mbali.Idhini ya kutangaza mpaka itolewe na Mamlaka inayosimamia Matangazo
Mbali mbali !! ilikuwa karibu ila sera za ubabaishaji na mfumo wa "usijue zaidi yangu" ndiyo umetesa raia wa TANZANIA....Matangazo ya vifo baada ya Taarifa ya Habari RTD ndio ilikuwa njia nyepesi ya kufikisha habari za msiba miaka wa Mwalimu. Simu hakuna, Barua zinachukua miezi. Nchi hii imetoka mbali.