mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,036
Haiozi kwa kuwa akiba ni hazina ya baadaeAkiba haiozi
Haiozi kwa kuwa akiba ni hazina ya baadaeAkiba haiozi
Baadae, baadae usipojipanga kisawa utakuta umewahiwa na wajanja wa mjini......Haiozi kwa kuwa akiba ni hazina ya baadae
Baadae, baadae usipojipanga kisawa utakuta umewahiwa na wajanja wa mjini......
Yanayo muhusu ndugu yangu nami yananihusu, akiumia nami naumia udugu duniani jamani.....Mjini Ni Raha kila mtu anafanya yanayo muhusu
Fedheha ya muungwana ni harusi kwa waMbea au wadaku..., Auz kweli roho yakupa kuona nduguyo ana kibano na ana adhirika....?😛Lawama ni heri kuliko fedheha
Mtoto ni mtoto tutamchukulia kwa utoto wake.., ila kurekebishana ktk maadili hakunaga staha....Adhirika, hapana hapo nitasaidia, ila kuna mambo hasa ya maadili ukijaribu kurekebidha mtu anakuambia wewe si mzazi wake au inakuwa ugomvi na mwenye ndugu au mtoto.
Wake wenza ni vigumu kuishi nyumba moja... haya matatizo ya ulezi wa sasa ni utamaduni wa kigeni....Staha haipo linapokuja suala la maadili, jamii ya sasa si kama ya enzi hizo wanasema mtoto analelewa na jamii, siku hizi umkaripie mtoto wa mtu, basi una ugomvi na mzazi wake.
Kigeni, ugeni, wageni, ugenini ni maneno ambayo kama yanafanana flan hiviWake wenza ni vigumu kuishi nyumba moja... haya matatizo ya ulezi wa sasa ni utamaduni wa kigeni....
Hivi ni kweli hayo maneno yanafananaKigeni, ugeni, wageni, ugenini ni maneno ambayo kama yanafanana flan hivi
Yanafanana flani hivi mkuu. Fanya kama unayatamka mwenyewe utaonaHivi ni kweli hayo maneno yanafanana
Utaona kama thread hii itaisha, maana inakimbia balaaYanafanana flani hivi mkuu. Fanya kama unayatamka mwenyewe utaona
Balaa zaidi ni pale kila siku wanapoibuka wakuu wengine baada ya wengine kukata tamaa ya kua wa mwishoUtaona kama thread hii itaisha, maana inakimbia balaa
Balaa zaidi ni pale kila siku wanapoibuka wakuu wengine baada ya wengine kukata tamaa ya kua wa mwisho
Tisa watazima simu fake zote. Oh, sorry mkuu, nlitaka kumaanisha TCRA watazima simu fake zoteLeo ikifika saa tano na dakika hamsini na tisa
Zote pamoja na ya kwako snoopTisa watazima simu fake zote. Oh, sorry mkuu, nlitaka kumaanisha TCRA watazima simu fake zote