Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Saloon? Watch out people are scared to contribute in this thread simply because the language has been switched,i suggest lets get back where we use to.
To me or to you !! Jamani lugha adhimu na lugha mama ni kiswahili chetu kilichobobea mifano,methali na misamiati......
Kufikiria ni vyema kabla ya kutenda
Kutenda bila kujali mtendewa itakuwa ni uonevu bila staha..... 😛!!!
 
Tuombacho ni stara na ustawi kwa jamii.....
Jamii imekuwa na wasiwasi kwa namna bunge linavyojadili makadirio ya bajeti wizara ya fedha, wabunge wamejikita kutetea kutokukatwa kwa Mafao yao wamesahau kuzungumzia kuongezwa kwa kodi mbalimbali za magari,kukatwa 10% kwa miamala ya fedha kwenye ATM na Simu na ushuru wa forodha
 
Jamii imekuwa na wasiwasi kwa namna bunge linavyojadili makadirio ya bajeti wizara ya fedha, wabunge wamejikita kutetea kutokukatwa kwa Mafao yao wamesahau kuzungumzia kuongezwa kwa kodi mbalimbali za magari,kukatwa 10% kwa miamala ya fedha kwenye ATM na Simu na ushuru wa forodha
Forodha ni neno la kiarabu lina tokana na neno Fordh/fardhisha yaani impose (kwa kiengereza) Sasa katika kilio mtu hulia "mama yangu" hapo ubinafsi wa kutetea masilahi......
 
Forodha ni neno la kiarabu lina tokana na neno Fordh/fardhisha yaani impose (kwa kiengereza) Sasa katika kilio mtu hulia "mama yangu" hapo ubinafsi wa kutetea masilahi......

Masilahi yangu Ni Kwa WaTanzania Tupendane Kama tunavyo penda mpira maana Hata maadui wa siasa,Ukabila Na Udini wanakubalia Kwa ushabiki wa timu zao
 
Back
Top Bottom