danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
Darajani pale ubungo na kimara kwenye mwendokasi huwa nachoka sana kuzungukaKisogoni kuwake ndipo alipopata jeraha katika ile ajali ya darajani.....
Darajani pale ubungo na kimara kwenye mwendokasi huwa nachoka sana kuzungukaKisogoni kuwake ndipo alipopata jeraha katika ile ajali ya darajani.....
Kuzunguka zunguka ni harakati na njia moja wapo ya kupata riziki !!!😀Darajani pale ubungo na kimara kwenye mwendokasi huwa nachoka sana kuzunguka
Riziki ya mtu sio ya kulalia mlango waziKuzunguka zunguka ni harakati na njia moja wapo ya kupata riziki !!!😀
Wazi wa kujieleza katika mitandao ndiyo uhuru wa wanyonge kutoa joto moyoni......Riziki ya mtu sio ya kulalia mlango wazi
Moyoni mwa mtu kuna siri nyingi sanaWazi wa kujieleza katika mitandao ndiyo uhuru wa wanyonge kutoa joto moyoni......
Sana sana ataificha siri miaka mingapi? lazima aitoe ili apate ahweni ya nafsi......🙂Moyoni mwa mtu kuna siri nyingi sana
Nafsi hivi inatofauti gani na roho?Sana sana ataificha siri miaka mingapi? lazima aitoe ili apate ahweni ya nafsi......🙂
Roho nzuri humfanya mtu kuishi kwa amaniNafsi hivi inatofauti gani na roho?
Amani iliyopo Tanzania imetutambulisha na kutuletea sifa nyingi za kimatifa.....Roho nzuri humfanya mtu kuishi kwa amani
Kimataifa tunatambulika kutoka mchango tuliyotowa kwa mataifa barani AfrikaAmani iliyopo Tanzania imetutambulisha na kutuletea sifa nyingi za kimatifa.....![]()
RohoNafsi hivi inatofauti gani na roho?
Barani Afrika wamekuwa na nyodo juu yetu baada ya kuona tunaishi kwa kuvumiliana !!!Kimataifa tunatambulika kutoka mchango tuliyotowa kwa mataifa barani Afrika
Roho na Nafsi !!! Ndugu acha nichukuwe wasaa wa kujibu suali lako zuri kwa Imani.....Nafsi hivi inatofauti gani na roho?
Umenipata vizuri kabisa swali langu na umelijibu vyema. Nimekuelewa sana mkuuRoho na Nafsi !!! Ndugu acha nichukuwe wasaa wa kujibu suali lako zuri kwa Imani.....
(Nafsi ni mchanganyiko wa mwili na hisia, Roho ni mpachiko kutoka kwa Muumba ndani ya huo Mwili wenye hisia..., hivyo Roho ni amri ya Mwenyeezi Mungu pekee) !!!
umenipata?
Mkuu Dany, karibu sana wakati wowote tupo kuelimishana na kuelekezana tuyajayo....Umenipata vizuri kabisa swali langu na umelijibu vyema. Nimekuelewa sana mkuu
Tuyajayo ina maana gani kiongozi? Au umemaanisha tuyajuayo?Mkuu Dany, karibu sana wakati wowote tupo kuelimishana na kuelekezana tuyajayo....
Tuyajuayo nilimaanisha ahsante... sema saumu ya mfungo ndiyo imenipelekesha kukosea....Tuyajayo ina maana gani kiongozi? Au umemaanisha tuyajuayo?
Kukosea ni kitu cha kawaida kwa binadamuTuyajuayo nilimaanisha ahsante... sema saumu ya mfungo ndiyo imenipelekesha kukosea....
Binadamu sisi tuna tofauti nyingi za kitamaduni......Kukosea ni kitu cha kawaida kwa binadamu
Kitamaduni za mwafrika wadada kuvaa nusu uchi hadharani hairuhusiwiBinadamu sisi tuna tofauti nyingi za kitamaduni......
Hairuhusiwi kuvuka utepe wa polisi .....Kitamaduni za mwafrika wadada kuvaa nusu uchi hadharani hairuhusiwi