danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,528
Polisi na wanajeshi wakati mwingine hawapataniHairuhusiwi kuvuka utepe wa polisi .....
Polisi na wanajeshi wakati mwingine hawapataniHairuhusiwi kuvuka utepe wa polisi .....
Hawapatani hawa wake wenza migogoro yao ya kila siku imesababisha mwanya wa kuvamiwaPolisi na wanajeshi wakati mwingine hawapatani
Kuvamiwa sio jambo zuri kabisaHawapatani hawa wake wenza migogoro yao ya kila siku imesababisha mwanya wa kuvamiwa
kabisa yaliyotokea huko usiku wa jana lazima serikali ichunguze chanzo.....Kuvamiwa sio jambo zuri kabisa
Matokeo ya kukimbia kulipa kodi ni ubabe wa TRA kwa wafanya biashara.....Chanzo kwa Tanzania ni ngumu kupambana nacho zaidi ya matokeo
Biashara kulipia kodi ni mfumo wa dunia nzima, nchini kwetu kodi zipo juu ukilinganisha na jirani majirani zetu wapunguze kodi watoe elimu watu watalipaMatokeo ya kukimbia kulipa kodi ni ubabe wa TRA kwa wafanya biashara.....
Watalipa kodi kama walivyokuwa wakilipa zamani..., Sasa mafisa wa TRA wanakuja na ujanja fulani.....Biashara kulipia kodi ni mfumo wa dunia nzima, nchini kwetu kodi zipo juu ukilinganisha na jirani majirani zetu wapunguze kodi watoe elimu watu watalipa
Fulani kumjua si sababu ya kutokufata sheria,hao maofisa wa TRA ndiyo kikwazo cha mlipa kodi nchini kwetuWatalipa kodi kama walivyokuwa wakilipa zamani..., Sasa mafisa wa TRA wanakuja na ujanja fulani.....
Nchini kwetu kuna wahujumu tokea enzi za Tanesco walikuwa wasoma mita wakija na dili za kuchakachuwa bili ya umeme, Sasa hawa TRA nao wanaminya kipato cha kodi kisiende serikalini.....Fulani kumjua si sababu ya kutokufata sheria,hao maofisa wa TRA ndiyo kikwazo cha mlipa kodi nchini kwetu
Kwetu pazuri ni bar maarufu sana tabataFulani kumjua si sababu ya kutokufata sheria,hao maofisa wa TRA ndiyo kikwazo cha mlipa kodi nchini kwetu
Serikalini kuna wahujumu uchumi wengi zaidi kuliko maelezoNchini kwetu kuna wahujumu tokea enzi za Tanesco walikuwa wasoma mita wakija na dili za kuchakachuwa bili ya umeme, Sasa hawa TRA nao wanaminya kipato cha kodi kisiende serikalini.....
Tabata ni moja ya vitongoji vya Dar-es-salaam chenye wakazi lukukiKwetu pazuri ni bar maarufu sana tabata
Maelezo ya wazi na uhakika kuhusu wahujumu yameshafika ikulu na Mhe. rais anayashughulikia vilivyo......Serikalini kuna wahujumu uchumi wengi zaidi kuliko maelezo
Vilivyo vyovyote vile vita na wahujumu ni pambano kali sana halitaki kuoneana aibuMaelezo ya wazi na uhakika kuhusu wahujumu yameshafika ikulu na Mhe. rais anayashughulikia vilivyo......
Aibu ukimuonea binamu huzaai.., Sasa wa CCM wakionena aibu itakuwajee ??Vilivyo vyovyote vile vita na wahujumu ni pambano kali sana halitaki kuoneana aibu
Itakuwajee kwa mfano dunia ikisimama?Aibu ukimuonea binamu huzaai.., Sasa wa CCM wakionena aibu itakuwajee ??
Ikisimama dunia hakuna ajuae kitatokea Muumba ndiyo ajuaeItakuwajee kwa mfano dunia ikisimama?
Ajuae ni kweli Muumba pekee, ila sio mbaya tukajaribu kuchangamsha akili kwa kufkiriaIkisimama dunia hakuna ajuae kitatokea Muumba ndiyo ajuae
Kufikiria hatukatazwi lakini kuna mambo yana kikomo cha fikra ukikwama kupata jibu hapo ndiyo mwisho wa fikra zakoAjuae ni kweli Muumba pekee, ila sio mbaya tukajaribu kuchangamsha akili kwa kufkiria