2016 ndo mwaka nilioanza kuipotezea chai.
Pesa ya madafuhainyweki kwa sababu upatikanaj wa sukari umegua mgumu zaid ya pesa
Madafu mengi yanapatikana pwani.. ila siye wajangwani tunapata tende...!!!!Pesa ya madafu
Tende za waarabu sisi wasukuma zetu sungwi.Madafu mengi yanapatikana pwani.. ila siye wajangwani tunapata tende...!!!!
Tende ni kifunguo kizuri kwa mwezi wa Ramdhan.Madafu mengi yanapatikana pwani.. ila siye wajangwani tunapata tende...!!!!
Tende ni kifunguo kizuri kwa mwezi wa Ramdhan.Madafu mengi yanapatikana pwani.. ila siye wajangwani tunapata tende...!!!!
Sungwi au furu ? Makamirwa siku hizi yameadimika !!!Tende za waarabu sisi wasukuma zetu sungwi.
Bei ya paa juu kwa sababu wafanya biashara ndiyo zao musimu !!!Ramadhan vitu hupanda bei
Msimu huu nakushukuru Mkuu kunitangazia ushindi ila kazi bado pevu ni mapema mno kumtangaza mshindi mtanange bado unaputwaBei ya paa juu kwa sababu wafanya biashara ndiyo zao musimu !!!
mshindi wa olympic
Brazil kumeibuka ugonjwa ndani ya ujauzito wa akina mama kichanga humo kinaumbika na kichwa kidogo kuliko wastan wa umbo...Virusi hiyo huletwa na mbu wa malaria na hujilikana kwa "zika"Olympic mwaka huu michezo yake inafanyika Rio de janeiro Brazil
Tufuturu mapema pale wanapo adhini tu... maana kuna vitu vitatu Waumini tumeusiwa tuharakishe ktk maisha yetu, Mosi inapokuja suala la ndoa muoane haraka bila kuchelewa (vuta ni kuvute).. pili inapo wadia wakati wa kufuturu basi mle futari/chakula bila kusitasita.. na tatu anapo kuja mtu kutaka kujua njia ya haki "Uisilam" basi Mfunguke kiimani na kuMsalimisha kwa shahada... Allah yaalam (mungu ndiyo ajuae Zaidi) !!
Zika kweli ni moja ya ugonjwa hatari kwa wajawazito,lakini mbu wanaosambaza hayo maradhi wamefanana na mbu wanaosambaza maradhi mengine huko huko Brazil yanajulikana kama “Dengue"Brazil kumeibuka ugonjwa ndani ya ujauzito wa akina mama kichanga humo kinaumbika na kichwa kidogo kuliko wastan wa umbo...Virusi hiyo huletwa na mbu wa malaria na hujilikana kwa "zika"