mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,900
- 2,100
Wang'ombe anaishi wapi katika Tanzania
Tanzania Taaaaanzania nakupenda Mtebetini umenikumbusha nyimbo ya uzalendo
Wang'ombe anaishi wapi katika Tanzania
Uzalendo ni muhimu kwa kila raia na nchi yake hilo neno wasomi hulitamka patriotismTanzania Taaaaanzania nakupenda Mtebetini umenikumbusha nyimbo ya uzalendo
Uzalendo ni muhimu kwa kila raia na nchi yake hilo neno wasomi hulitamka patriotism
Wazalendo/uzalendo unatakiwa ufundishwe kwa wananchi wauelewe la sivyo itakuwa kama ilivyo sasa wenye kuonyesha uzalendo wanajifichaPatriotism Ni neno zuri sana.Karibu dunia nzima wananchi wengi Ni wazalendo wa nchi zao ila hapa Tanzania.Wachache ambao sio wazalendo ndio wanakelele utafikiria Tanzania hakuna wazalendo.
Wanajificha wakati wa kazi ila muda wa msosi wanakuwa wakwanza kunawaWazalendo/uzalendo unatakiwa ufundishwe kwa wananchi wauelewe la sivyo itakuwa kama ilivyo sasa wenye kuonyesha uzalendo wanajificha
Kunawa unaweza kunawa lakini msosi huliWanajificha wakati wa kazi ila muda wa msosi wanakuwa wakwanza kunawa
Kunawa unaweza kunawa lakini msosi huli
Raha mpaka ukaribishwe,unanawa bila karibu ustaarabu wa wapi hata kama ni futari uungwana mpaka ukaribishwe,maandiko yanatufundisha usiende kukaa meza kuu mpaka uitwe!Huli?Mtebetini wacha bhana.Onesha uzalendo mwachia apige msosi Tena mihogo Na samaki
Mpaka Raha
Raha mpaka ukaribishwe,unanawa bila karibu ustaarabu wa wapi hata kama ni futari uungwana mpaka ukaribishwe,maandiko yanatufundisha usiende kukaa meza kuu mpaka uitwe!
Karibu Dakuu
Muungwana
Njema shukuran sana kwa salam zako, mi wakati nasoma Dodoma 1969 nilikuwa nawashanga sana wenyeji wa mkoa huo ni waastarabu kupita maelezo! Kikubwa walichokuwa wananishangaza ni salaam wanapokutana baada ya mbukwa- mbukwenyi (kama sijakosea) na maneno mengi huishi kuuliza mkukuliachi? Jibu huwa ugali na lilenda (i hope sijakosea pia) basi hizo salamu zina ujumbe mkubwa sana na wakistaarabu hakuna mfanoMuungwana wewe Mtebetini Asante sana nimesha wahi nakutakieni dakuu njema
Mfano ni kujaribu kutumia lugha ya wagogo badala ya kwakoNjema shukuran sana kwa salam zako, mi wakati nasoma Dodoma 1969 nilikuwa nawashanga sana wenyeji wa mkoa huo ni waastarabu kupita maelezo! Kikubwa walichokuwa wananishangaza ni salaam wanapokutana baada ya mbukwa- mbukwenyi (kama sijakosea) na maneno mengi huishi kuuliza mkukuliachi? Jibu huwa ugali na lilenda (i hope sijakosea pia) basi hizo salamu zina ujumbe mkubwa sana na wakistaarabu hakuna mfano
Kwako usipo ziba ufa utajenga ukuta...... nakushauri mapema uchukuwe tahadhari !!!Mfano ni kujaribu kutumia lugha ya wagogo badala ya kwako
Mshindi mshindeni ubebwe begani....haya nimekua mshindi
Taa uzime wewe.., lawama unipe mimi hata sikubali 😛!!!bega lililo juu kama taa
Rais Mheshimiwa Dkt. JPM ameweka rekodi ya Utawala bora barani Afrika....ukubal ukatae magufuli ndo raisi
Afrika bara lenye hazina nyingi ambazo hazipo katika sehemu nyingine dunianiRais Mheshimiwa Dkt. JPM ameweka rekodi ya Utawala bora barani Afrika....
Duniani kuna bingwa mmoja mTZ aitwae mtebetini tunamwandalia tuzo la mwaka 2016!!Afrika bara lenye hazina nyingi ambazo hazipo katika sehemu nyingine duniani