othiambo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2014
- 2,005
- 2,811
Misosi mitamu hata kwa mamantilie ipo sio tu kwenye migahawa mikubwa."Kandamiza mwanawane" nimequote kwa Masanja misosi
Misosi mitamu hata kwa mamantilie ipo sio tu kwenye migahawa mikubwa."Kandamiza mwanawane" nimequote kwa Masanja misosi
Mikubwa au midogodogo usitutamanishe maana saumu ya leo imekubali.....Misosi mitamu hata kwa mamantilie ipo sio tu kwenye migahawa mikubwa.
Mikubwa au midogodogo usitutamanishe maana saumu ya leo imekubali.....
Safari lager Ndo mpango mzima not kiroba
Dili la kuleta sukari nimeambulia kibali tu.., Sasa natafuta mlipaji !!!Kiroba Ni sawa Na Gongo Ni hataridhi Kwa wanywaji.Pombe sio dili
Mlipaji utampata kwani sukari imeadimika wahitaji wameongezekaDili la kuleta sukari nimeambulia kibali tu.., Sasa natafuta mlipaji !!!
Wameongezeka idadi kubwa wasiyo na hili wala lile, Na wenye nazo wapo wachache !!!Mlipaji utampata kwani sukari imeadimika wahitaji wameongezeka
Wachache wenye nguvu na sauti ndio wanaotuumiza maskini.Wameongezeka idadi kubwa wasiyo na hili wala lile, Na wenye nazo wapo wachache !!!
Maskini hana nguvu mpaka mwenye mali apendeWachache wenye nguvu na sauti ndio wanaotuumiza maskini.
Maskini yule mgonjwa alichukuliwa hospitaliWachache wenye nguvu na sauti ndio wanaotuumiza maskini.
Hospitali ya amana ndiko alikozaliwa othiamboMaskini yule mgonjwa alichukuliwa hospitali
Othiambo kumbe kijana wa miaka ya karibuni, Amana nijuayo mimi kulikuwa hakuna kulazwa wagonjwa wala wodi ya wazaziHospitali ya amana ndiko alikozaliwa othiambo

Unabug menWachache mmbu hawaonekani ila sindano zao utakoma
Men mnaharibu vurugu tupu kwenye kuchangia rejea kusoma utaratibu wa aliyeanzisha huu uzi ya tarehe 29 June 2012 post #01 na mara ya mwisho kuonekana jamvini ni tarehe 8 May 2015 si mwingine ni Kiongozi wetu wambuziUnabug men
Wambuzi in mtu was ajabu sana bora wang'ombeMen mnaharibu vurugu tupu kwenye kuchangia rejea kusoma utaratibu wa aliyeanzisha huu uzi ya tarehe 29 June 2012 post #01 na mara ya mwisho kuonekana jamvini ni tarehe 8 May 2015 si mwingine ni Kiongozi wetu wambuzi
Wambuzi ni mtu wa ajabu sana bora wang'ombe